Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Hayupo hapo kilele chake mwaka wa 90 na Cameroon hata mwaka wa 92 penye euro umri ulikuwa umesogea alikuwa na 31 waqt wa mashindano ya ulaya.Umemjibu vyema kabisa mzee mwenzangu.Gary Lineker hakuchza kwenye kikosi hiki kinachojadiliwa.