K kanderema Member Apr 26, 2024 14 16 May 1, 2024 #1 Kwa upepo ulivyo vuma kule Bungeni huenda leo tukapata majibu ya kikokotoo Leo.
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 57,452 96,078 May 1, 2024 #2 kanderema said: Kwa upepo ulivyo vuma kule Bungeni huenda leo tukapata majibu ya kikokotoo Leo. Click to expand... Sasa mgeni rasmi ni makamu wa Rais hana madaraka hayo.
kanderema said: Kwa upepo ulivyo vuma kule Bungeni huenda leo tukapata majibu ya kikokotoo Leo. Click to expand... Sasa mgeni rasmi ni makamu wa Rais hana madaraka hayo.
Kinoamiguu JF-Expert Member Nov 29, 2018 10,739 13,326 May 1, 2024 #3 Aliyetengeneza tatizo hawezi kuwa sehemu ya utatuzi. Unajua kwann raisi hayupo hapo?
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 57,452 96,078 May 1, 2024 #4 Kinoamiguu said: Aliyetengeneza tatizo hawezi kuwa sehemu ya utatuzi. Unajua kwann raisi hayupo hapo? Click to expand... Amewakwepa wafanyakazi.
Kinoamiguu said: Aliyetengeneza tatizo hawezi kuwa sehemu ya utatuzi. Unajua kwann raisi hayupo hapo? Click to expand... Amewakwepa wafanyakazi.
K kanderema Member Apr 26, 2024 14 16 May 1, 2024 Thread starter #6 Dr Matola PhD said: Sasa mgeni rasmi ni makamu wa Rais hana madaraka hayo. Click to expand... Inawezekana kampa maelekezo mkuu
Dr Matola PhD said: Sasa mgeni rasmi ni makamu wa Rais hana madaraka hayo. Click to expand... Inawezekana kampa maelekezo mkuu
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 57,452 96,078 May 1, 2024 #7 kanderema said: Inawezekana kampa maelekezo mkuu Click to expand... Huwezi kumpa maelekezo mtu mwingine kwa jambo zito kama hilo, hakuna utaratibu huo. Kwanza Makamu wa Rais anakaimu madaraka ya Urais kama Rais hayupo, je huyu mama yuko wapi? Na may day ipo kwenye kalenda inajurikana wazi ni siku fulani.
kanderema said: Inawezekana kampa maelekezo mkuu Click to expand... Huwezi kumpa maelekezo mtu mwingine kwa jambo zito kama hilo, hakuna utaratibu huo. Kwanza Makamu wa Rais anakaimu madaraka ya Urais kama Rais hayupo, je huyu mama yuko wapi? Na may day ipo kwenye kalenda inajurikana wazi ni siku fulani.
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,795 55,553 May 1, 2024 #8 Dr Matola PhD said: Sasa mgeni rasmi ni makamu wa Rais hana madaraka hayo. Click to expand...
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 57,452 96,078 May 1, 2024 #10 Lavit said: Watumishi mnadeka sana! Click to expand... Wanadeka vipi?
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 57,452 96,078 May 1, 2024 #11 Kennedy said: View attachment 2978097 Click to expand... Ínashangaza sana serikali inadhurumu pesa za mifuko halafu inataka kuwapangia watu maisha.
Kennedy said: View attachment 2978097 Click to expand... Ínashangaza sana serikali inadhurumu pesa za mifuko halafu inataka kuwapangia watu maisha.