Kikao cha nywele za mwilini!!

Kikao cha nywele za mwilini!!

XOXOQY

Senior Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
193
Reaction score
54
Baada ya malalamiko mengi yaliokuwa yanatolewa na nywele za mwilini nywele za kichwani zikaitisha kikao cha nywele zote mwilini kusikiliza malalamiko yao.NYWELE ZA KWAPANI-mweshimiwa mm nashangaa had leo sijapewa jina maalumu kama mwenzangu masharubu a.k.a timberland.NYWELE ZA KIDEVUN-mheshmiwa mimi nashangaa wenzangu mustach,garden lov na timberland wana majina mazuri kabisa mimi naishia kuitwa jina la kizaramo eti "mzuzu".GARDEN LOVE-mheshmwa mm naomba nianze kunyolewa ktk staili mbalimbali kama wewe et mara unaiwa kiduku,mara panki,mara kisahani,mara afro mara kijogoo,ikafka zamu ya MA***UZI-unajua mi nawashangaa sana nyny mbona mnareta usharobaro lakn hivi sisi ambao majina ye2 hayatamkwi hadharani 2semaje?afu wewe nyele ya kwapa unaondolewa harufumbaya na mapafyum ya gharama mim huku nilipo nanusa harufu mbaya ucombe,afu ww mzuzu acha kudeka full tim unaota jua huko wakat mm ma**uzi naachwa wazi 4 emergence tu hebu achen zenu!
 
Mmmh,vp kuhusu nywele za ugoko na matakoni hazikwenda ama hazikualikwa?
 
Ma**zi yana majina mengi wengine huyaita CHAKA DEMUS
 
Kweli za kwapa ziache kuchonga. Mavuz.i yana hali mbaya pamoja na jirani zake
 
ha hahaaaaaaaaaaaaaaa uwi mbavu zangu we Raia fulani bana teh teh teh lol
 
Ina maana hcho kikao MAKATAMAVI hayakualikwa?
 
Ha ha ha ha jamani nywele zinafanya kikao!!Hii ni balaa
 
Back
Top Bottom