cheichei2010
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 932
- 350
ni juzi tu tumesoma watu wamepigana mapanga kwa sababu ya kuchinja, leo tena mikutano ya kikanda.
waliopigana mapanga huko geita sio watu wanaoshinda hapa JF au watu wa maofisini, ni wachinjaji sasa mchinjaji ana uwezo gani wa kuchanganua na kupima mambo.
point yangu ni kwamba taifa letu wajameni ni bado sana kwa mambo ya fikra za ukanda ni kutafuta matatizo mengine.
Kwanini wengine hawalioni hili.
Mmeanza na kanda ile ile iliyopendelewa kwa kila kitu kuanzia mlima mpaka mbuga za wanyama, elimu hadi hospitali? Hakika sambi sa ubaguzi zitawamaliza.
mkuu crashwise! Mbona ktk hotuba ya mbowe, akizitaja kanda 10 alisema kanda ya kaskazini itahusisha mikoa 3 ambayo ni kilimanjarao, arusha na manyara.
Na kanda ya mashariki itahusisha mikoa ya pwani, dar es salaam na tanga.
Sasa iweje ktk taarifa yako umesema mkoa wa tanga umejumuishwa ktk kanda ya kaskazini?
ni juzi tu tumesoma watu wamepigana mapanga kwa sababu ya kuchinja, leo tena mikutano ya kikanda.
waliopigana mapanga huko geita sio watu wanaoshinda hapa JF au watu wa maofisini, ni wachinjaji sasa mchinjaji ana uwezo gani wa kuchanganua na kupima mambo.
point yangu ni kwamba taifa letu wajameni ni bado sana kwa mambo ya fikra za ukanda ni kutafuta matatizo mengine.
Kwanini wengine hawalioni hili.
Kwanza kabisa naomba nikuweke sawa kwenye jambo moja tuu Mbowe siyo mwenye chama na cdm kama chama ni chama cha kila alie mwana chama mshabiki ndiyo maana unaona mtu anahama anatoka Cdm anaenda magamba cdm inabakia palepale hivyo cdm haina mwenyewe.
kati ya mistakes kubwa itakayotufanya tupigwe mabao, ni kupeleka wachezaji wote mbele tukasahau kuwa tunatakiwa tuimarishe beki saa zote. Cdm tusikimbilie kuemplement mashambulizi peke yake, tuangalie pia namna ya kumzuia adui yetu ccm...
ni juzi tu tumesoma watu wamepigana mapanga kwa sababu ya kuchinja, leo tena mikutano ya kikanda.
waliopigana mapanga huko geita sio watu wanaoshinda hapa JF au watu wa maofisini, ni wachinjaji sasa mchinjaji ana uwezo gani wa kuchanganua na kupima mambo.
point yangu ni kwamba taifa letu wajameni ni bado sana kwa mambo ya fikra za ukanda ni kutafuta matatizo mengine.
Kwanini wengine hawalioni hili.
Good move...Tunaelekea pazuri. Nialikeni mapema ktk kikao cha kanda ya ziwa. I will do some thing potential.
Mkuu Crashwise! Mbona ktk Hotuba ya MBOWE, akizitaja kanda 10 alisema KANDA YA KASKAZINI itahusisha mikoa 3 ambayo ni KILIMANJARAO, ARUSHA na MANYARA.
na KANDA YA MASHARIKI itahusisha mikoa ya PWANI, DAR ES SALAAM na TANGA.
Sasa iweje ktk taarifa yako umesema mkoa wa TANGA umejumuishwa ktk KANDA YA KASKAZINI?
Why start with Northern Zone? Au kwa kuwa ndo wazo lilikoanzia!
Kamuulize mwenyekiti wako wa chama chako muasisi wa uchafu huo.vikao vya ukanda tayari, na vya ukabila na udini vinaanza lini???
TAARIFA KWA UMMAKufuatia azimio na maamuzi ya Baraza Kuu la CHADEMA lililofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam, iliamuliwa kuwa chama kishushe mamlaka ya uendeshaji kwenye mfumo wa kanda kama zilivyogawanywa.
KIKAO CHA KAMATI YA URATIBU WA KANDA NA UZINDUZI WA KANDA YA KASKAZINI
Itakumbukwa kuwa azimio hili ni sambamba na sera ya CHADEMA kuhusu mfumo mpya wa utawala (majimbo) na mapendekezo ya chama kwa tume ya mabadiliko ya katiba kuhusu kuigawanya nchi katika majimbo 10 ya kiutawala/kiserikali.
Katika mgawanyo huu, Kanda ya Kaskazini ilipangwa kuwa na mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara.
Mkoa wa Arusha ulichaguliwa kuwa makao makuu ya Kanda ya Kaskazini.
Tarehe 16 na 17 Februari 2013 kutakuwa na kikao cha kwanza cha Chama Kanda ya Kaskazini ambacho kitajumuisha wabunge wote kutoka mikoa ya kanda hii, akiwemo Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mh. Freeman Mbowe (KUB), viongozi wa chama wa mikoa.
Pia kitahudhuriwa na Wenyeviti na Mameya wa halmashauri zinazoongozwa na CHADEMA pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu ya chama, wanaoishi kwenye kanda ya kaskazini pamoja na mwasisi wa CHADEMA Mzee Edwin Mtei.
Aidha siku ya tarehe 17 Februari kikao kitajumuisha viongozi kutoka majimbo yote ya Kanda ya Kaskazini, takribani majimbo 30 na kuleta wajumbe zaidi ya 200 katika Jiji la Arusha.
Siku hiyo hiyo ya tarehe 17 Februari tutakuwa na uzinduzi wa kanda yenyewe na kuitambulisha timu ya uratibu, utakaohitimishwa na mkutano mkubwa wa hadhara.
Tunawaomba wananchi/wakazi wa mikoa ya Kanda ya Kaskazini wajitokeze kwa wingi sana kwa ajili ya uzinduzi wa kanda yao hii na pia kuunga mkono mpango huu wa chama ambao mbali ya kukifanya chama na viongozi kuwa karibu zaidi na wananchi pia katika kufanya shughuli za kisiasa kwa ufanisi wa hali ya juu na kwa kiasi kikubwa umeshusha madaraka na mamlaka ya uendeshaji na usimamizi wa chama kwa watu ngazi ya chini.
Imetolewa leo tarehe 13 Februari 2013.
Arusha.
Amani Golugwa
KNY: Kamati ya Muda ya Uratibu
KANDA YA KASKAZINI (TANGA, KILIMANJARO, ARUSHA & MANYARA)
+255 754 912 914
Email: golugwa@gmail.com
Labda nimsaidie kidogo,ingependeza kama heading ingekuwa " UZINDUZI WA JIMBO KUU LA CHADEMA" ingeleta maana zaidi.Kwani thread ni ya Mods? niambie wapi haieleweki kama ni kulekebisha ni lekebishe...
Kumbuka ni mkakati wa chama kupambana na magamba.Halafu fahamu kwamba chama kama CDM hakina fedha za kutosha kuendesha chama,hivyo ni vizuri ile hela igawanywe kidogo katika kanda ili isaidie kuwafuata wananchi hadi vijijini.Yaani hapo ni kwamba adui ameanza kupigwa toka chini,unapofika katikati ,ni kumalizia tu,kwani unakuwa uliishamzunguka siku nyingi.Mkakati huu ukisimamiwa vizuri 2015, CCM watakua hoi hoi bin taabani.
Mwambie Matelephone ile kanzu vipi?? Nataka mbili kama zile, namkubali sana huyu Kamanda.
Kwa sababu kaskazini wametumia mamlaka waliopewa wakajipanga na wanasonga mbele.
Chama ni cha Freeman Aikael Mbowe na Baba Mkwe wake Mzee Edwin Mtei hao ndio shareholder wakuu wa Chadema!