Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA chasogezwa mbele

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,747
22,458
Kikao cha Kamati Kuu kimesogezwa mbele hadi saa 6 mchana. Ni kwa sababu ya masuala ya hila zinazoendelea kwenye suala la uchaguzi wa Umeya Jiji la Dar es Salaam.

Asubuhi hii viongozi wakuu wamelazimika kuanzia Central Police ambako Mbunge Halima Mdee na Madiwani wawili na kamanda wetu mmoja wanaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi huku wakimhitaji Mbunge Saed Kubenea naye afike polisi.

Tutakuwa na media briefing kabla ya kikao cha Kamati Kuu ambapo masuala yote haya ya umeya yatazungumzwa. Saa sita mchana.
 
Huu utani tuliusikia hata kipindi cha mchakato wa kusimamisha mgombea...Semeni ukweli...Ufipa yageuka mnara wa babeli...M4C wanaongea lugha yao na 4U Movement nao wanaongea lugha yao...
 
Kikao cha Kamati Kuu kimesogezwa mbele hadi saa 6 mchana. Ni kwa sababu ya masuala ya hila zinazoendelea kwenye suala la uchaguzi wa Umeya Jiji la Dar es Salaam.

Asubuhi hii viongozi wakuu wamelazimika kuanzia Central Police ambako Mbunge Halima Mdee na Madiwani wawili na kamanda wetu mmoja wanaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi huku wakimhitaji Mbunge Saed Kubenea naye afike polisi.

Tutakuwa na media briefing kabla ya kikao cha Kamati Kuu ambapo masuala yote haya ya umeya yatazungumzwa. Saa sita mchana.

Kikao kitafanyikia wapi Ufipa au Mikocheni kwa mwenye Mali?
 
Ukiacha figisu figisu za umeya ambazo kimsingi ccm wanalazimisha.....tunategemea kikao kitatuletea mchanganuo wa mapato na matumizi hasa ya wakati wa uchaguzi
 
Timasubiri TAMKO ZITO, kama lile la TOROKA UJE ambalo mpaka leo halijatimia hana 1/7 yake.
 
Ukiacha figisu figisu za umeya ambazo kimsingi ccm wanalazimisha.....tunategemea kikao kitatuletea mchanganuo wa mapato na matumizi hasa ya wakati wa uchaguzi
Masuala ya pesa sahau, hivi ile harambee ya kwenye mitandao inaendeleaje??
 
Andaeni maandamo makubwa Dar hata kwa nguvu
Wakati wewe mtoa maelekezo/ushauri wa maandamano hata kwa nguvu ukiwa wapi!? Njoo Uwe mstari wa mbele mkuu uone cha mtema kuni. Msitumie siasa kuleta machafuko. Mkono wa vyombo vya Dola utawashukia tu popote pale. Na kwa taarifa tu Kamanda Sirro huwa hana masihara kwenye kazi yake.
 
Kikao cha Kamati Kuu kimesogezwa mbele hadi saa 6 mchana. Ni kwa sababu ya masuala ya hila zinazoendelea kwenye suala la uchaguzi wa Umeya Jiji la Dar es Salaam.

Asubuhi hii viongozi wakuu wamelazimika kuanzia Central Police ambako Mbunge Halima Mdee na Madiwani wawili na kamanda wetu mmoja wanaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi huku wakimhitaji Mbunge Saed Kubenea naye afike polisi.

Tutakuwa na media briefing kabla ya kikao cha Kamati Kuu ambapo masuala yote haya ya umeya yatazungumzwa. Saa sita mchana.
BADALA YA KUTAFUTA KATIBU MKUU WANAANGAIKA NA MASUALA MADOGO. WANALILIA UMEYA WAKATI UWEZO WA KUONGOZA HAWANA!!! KICHEKESHO KWELI!!!!!
 
Kikao cha Kamati Kuu kimesogezwa mbele hadi saa 6 mchana. Ni kwa sababu ya masuala ya hila zinazoendelea kwenye suala la uchaguzi wa Umeya Jiji la Dar es Salaam.

Asubuhi hii viongozi wakuu wamelazimika kuanzia Central Police ambako Mbunge Halima Mdee na Madiwani wawili na kamanda wetu mmoja wanaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi huku wakimhitaji Mbunge Saed Kubenea naye afike polisi.

Tutakuwa na media briefing kabla ya kikao cha Kamati Kuu ambapo masuala yote haya ya umeya yatazungumzwa. Saa sita mchana.
h
Kikao cha Kamati Kuu kimesogezwa mbele hadi saa 6 mchana. Ni kwa sababu ya masuala ya hila zinazoendelea kwenye suala la uchaguzi wa Umeya Jiji la Dar es Salaam.

Asubuhi hii viongozi wakuu wamelazimika kuanzia Central Police ambako Mbunge Halima Mdee na Madiwani wawili na kamanda wetu mmoja wanaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi huku wakimhitaji Mbunge Saed Kubenea naye afike polisi.

Tutakuwa na media briefing kabla ya kikao cha Kamati Kuu ambapo masuala yote haya ya umeya yatazungumzwa. Saa sita mchana.
Kikao hakin haja kuahirisha,wale ni watuhumiwa wa jinai ya kumpiga katibu tawala,na mahakamani ndiko kwenye haki,wasubiri kupanda kizimbani kujibu tuhuma za fyoko fyoko zao,wakipatikana na hatia wachezee mvua na inakuwa ndio kifo chao kisiasa kwa kuwa kosa la jinai linakuweka pabaya kisiasa..
Inasikitisha kwa kuwa mmoja wa watuhumiwa ni msomi tena wa SHERIA,najiuliza kwa sauti iwapo shule yake imemsaidia kutengeneza fikra.
 
Back
Top Bottom