Kikao cha CCM leo Arusha 95% ya wahudhuriaji ni wazee tu nimecheka sana

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Ukisikia kususwa ndo huku yaani ccm leo wamepata aibu ya mwaka kuna magari yalipita yakizoa watu wakiahidiwa chakula bure kuanzia kikatiti hadi kisongo

Cha ajabu wazee tu tena wamebebwa kule meru tengeru nimejikuta nachekaaa

Inamaana arusha hakuna vijana ccm?Asilimia 95 ya waliohudhuria ni wazee

Kingine nilichoshangaa ni mabus yaliyowarudisha nayo wanachama ni mabus ya miaka ya 50's sijui wameyatoa wapi

Halaf ccm arusha huu mchezo wenu wa kushusha bendera za chadema usiku na kupandisha za ccm haukubaliki....

Nimeamini ccm arusha ni kaskazini nzima ni watu wa kuforce tu mambo bila polisi na madc na wakuregenzi hamna lolote mmesuswa
IMG_20190727_212201_298.jpeg
IMG_20190727_175046.jpeg
IMG_20190727_175043.jpeg
 
Mimi hata kabla ya kupata hii habari nimejua kabisa huo mkutano wa ccm kwa huko Arusha lazima ni wazee tu wamehudhuria na vijana wachache wanaotazama TBC1. Hao watu wa Arusha walishaamka miaka mingi. Na hata hao wazee wengi itakuwa ni wa nje ya mji maana wa hapo mjini wanajua fika ccm haina uungwaji mkono bali kinachoendelea ni hujuma.
 
Mimi hata kabla ya kupata hii habari nimejua kabisa huo mkutano wa ccm kwa huko Arusha lazima ni wazee tu wamehudhuria na vijana wachache wanaotazama TBC1. Hao watu wa Arusha walishaamka miaka mingi. Na hata hao wazee wengi itakuwa ni wa nje ya mji maana wa hapo mjini wanajua fika ccm haina uungwaji mkono bali kinachoendelea ni hujuma.
Yes upo sahihi wengi wametolewa ngarenanyuki,kikatiti,na meru momela
 
Mimi hata kabla ya kupata hii habari nimejua kabisa huo mkutano wa ccm kwa huko Arusha lazima ni wazee tu wamehudhuria na vijana wachache wanaotazama TBC1. Hao watu wa Arusha walishaamka miaka mingi. Na hata hao wazee wengi itakuwa ni wa nje ya mji maana wa hapo mjini wanajua fika ccm haina uungwaji mkono bali kinachoendelea ni hujuma.
Endeleeni kujidanganya. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na 2020 ndo mtajua wananchi wa Arusha wanafikiria nini juu ya Upinzani. Mwisho wa siku najua mtasema mmeibiwa kura.
 
Endeleeni kujidanganya. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na 2020 ndo mtajua wananchi wa Arusha wanafikiria nini juu ya Upinzani. Mwisho wa siku najua mtasema mmeibiwa kura.

Kwa taarifa yako, sasa hivi wala watu hawasemi tena wanaibiwa kura kwani hilo linafahamika, bali hawashiriki tena kwenye kupiga kura baada ya kupuuza hilo zoezi la kupiga kura kutokana na ushenzi unaofanywa tena kwa uratibu wa vyombo vya dola.

Hamna mtu mwenye akili timamu atasimama kwenye mstari wa kura kupoteza mda wake kwenye uchaguzi kiini macho.

Watu wa Arusha wanajitambua wala sio mazoba wa kutofahamu nini kinaendelea.
 
Ukisikia kususwa ndo huku yaani ccm leo wamepata aibu ya mwaka kuna magari yalipita yakizoa watu wakiahidiwa chakula bure kuanzia kikatiti hadi kisongo

Cha ajabu wazee tu tena wamebebwa kule meru tengeru nimejikuta nachekaaa

Inamaana arusha hakuna vijana ccm?Asilimia 95 ya waliohudhuria ni wazee

Kingine nilichoshangaa ni mabus yaliyowarudisha nayo wanachama ni mabus ya miaka ya 50's sijui wameyatoa wapi

Halaf ccm arusha huu mchezo wenu wa kushusha bendera za chadema usiku na kupandisha za ccm haukubaliki....

Nimeamini ccm arusha ni kaskazini nzima ni watu wa kuforce tu mambo bila polisi na madc na wakuregenzi hamna lolote mmesuswaView attachment 1164885View attachment 1164886View attachment 1164887
Sasa unalalamika nini mkuu??

Ushasema vijana hawakwenda wameenda wazee tupu! Sasa ulikuwa unataka wazee wapandishwe YOUTONG ili watapike (kurudisha change) ili ufurahi!

Acha wazee wafaidi wakati wao! Ndani ya Layland matata. Vijana mnapenda Youtong!

Hata chama ni cha zamani na kiko garage kinasukwa kwa ajili ya bao la mkono hapo mwakani! Ndo maana hata gari ni spana mkononi aka mpe!
 
Kwa taarifa yako, sasa hivi wala watu hawasemi tena wanaibiwa kura kwani hilo linafahamika, bali hawashiriki tena kwenye kupiga kura baada ya kupuuza hilo zoezi la kupiga kura kutokana na ushenzi unaofanywa tena kwa uratibu wa vyombo vya dola.

Hamna mtu mwenye akili timamu atasimama kwenye mstari wa kura kupoteza mda wake kwenye uchaguzi kiini macho.

Watu wa Arusha wanajitambua wala sio mazoba wa kutofahamu nini kinaendelea.
Kwa kasi hii ya Serikali ya awamu ya 5 Ni wehu kama wewe ndo wanaweza kudiriki kusema ulichokisema. Kama watu hawashiriki kupiga kura ni kwasbbu hakuna mbadala wa kumpigia kura tofauti na CCM. Hiyo Arusha toka wamechagua Upinzani wamepata nni? Sanasana wanashuhudia Lema ametoka kwenye umaskini sasa hivi anaishi kitajiri. Wao maisha yao yapo vilevile. Si bora alipoingia magufuli angalau hata wamachinga wamepata ahueni. Mbunge kila siku kutukana watu. Maendeleo jimboni kwake hakuna.
 
Back
Top Bottom