Chadema imeigaragaza CCM katika uchaguzi wa serikali ya kijiji cha kaseke mkoa wa kigoma jimbo la kigoma kusini kwa Kafulira uliokuwa na upinzani mkali kiasi cha wanakijiji kukesha wakisubili matokeo yaliyotolewa asubuhi saa tano CHADEMA 1256 CCM 900, viva Chadema, viva UKAWA