maisha hayajawah kuwa rahisi,
Ni magumu . Ila watu wanakomaa .
Kama kuna wanawake wanalipa kodi wenyewe,
Sasa Ww mwanaume unaogopaje majukumu ya kodi , maisha utatoboa kweli?...
Komaa , na dont skip the process.
Toka Home , anza maisha ya kujitegemea.
Ukiigopa Maisha utakufa maskini.