😂😂😂😂😂😂 Bora hata ulijiongeza kukaa uchi aisee kuliko kuonekana umevaa mdoshoIkabidi nikavue nguo nilizoenda nazo nikaingia hotel nikavaa taulo nikaenda kwenye swimming pool
Yeah nilikua nimevaa ki cowboy kama hivi kumbe nimekosea dressing codeBora hata ulijiongeza kukaa uchi aisee kuliko kuonekana umevaa mdosho
Hahaha Four Seasons Hotel, Nilibahatika kulala presidential suite $12000 per night, Nyagi Tsh 120000, soda 80000..grants laki 7!Kakosea, Kasema $300, but kuna Hotel Serengeti $10,000 a night!
Mwambie, mm binafsi nimeshafika hapo iliyokuwa Inaitwa BILILA wakati uleKakosea, Kasema $300, but kuna Hotel Serengeti $10,000 a night!
Haikua kutoka mfukoni mwangu thoughHongera mkuu kwa kulala hotel ya milioni 24+ kwa siku ...hayo ndio matumizi mazuri ukiwa na pesa.
😂😂😂😂Ila na wewe mwana kulitafuta!ulidhani Ni Texas huko?Yeah nilikua nimevaa ki cowboy kama hivi kumbe nimekosea dressing codeView attachment 2090853
Eti mkuu, $300 ukiifanyia convention into Tshs itakuwa Tshs 720 milioni kweli? Huyo jamaa anadanganya "matured people" mchana kweupe.Kakosea, Kasema $300, but kuna Hotel Serengeti $10,000 a night!
Kisiwa cha bata ila sio anavuokikuza. Watu wa kawaida kibao wanajivinjari Ibiza. Wengine decent wanaona sehemu ya kihuni tu.Ibiza ndo kisiwa cha bata kaka
Weeee utakuwa motivation speakerWewe kijana unahitaji ukombozi wa FIKRA,unaishi kwenye illusions....unasimulia fairytale yako kumbe hata kazi tu huna ndio unasambaza CV.?kwa hadithi yako hiyo huko waajiriwa hawapawezi huko wanaenda matycoon na madon wa ngada..nawa uso bado una tongotongo
Tafuta pesa hata Tanzania kuna pussie mataifa yoteIbiza kuna pussie za mataifa yotee
Mojawapo ni Four season safari,Kakosea, Kasema $300, but kuna Hotel Serengeti $10,000 a night!