Kijana niliyeamua kujiajiri

Steve96

JF-Expert Member
Aug 11, 2022
1,338
481
Asanteni sana ndgu zangu, nimeona nitumie fursa hii kuwashukuru nadhani mnanikumbuka, sio kwamba nimefanikiwa ila nimekuja kutoa mrejesho wa nn nalifanya kwa sasa ili kama hata nitapata watu wawili watatu wanisupport kwenye kazi yangu ya sasa.

Mimi nauza vifaa vya electronics vya majumbani na ofisini.

Napatikana Kariakoo mtaa wa Ndanda na Magira.

NAKUUZIA BIDHAA YYTE KWA BEI YA STORE.

NIPIGIE 0620558696 AU 0713491359 wasap.

Asanteni na karibuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom