masopakyindi Platinum Member Jul 5, 2011 17,882 13,172 Dec 28, 2016 #1 Parents buy son flat, he beats them up because it is 'too small' Kijana mmoja huko China amewasulubu wazazi wake kwa kumnunulua nyumba ambayo yeye anaona ni ndogo mno kwake. Hii ni laana kubwa.
Parents buy son flat, he beats them up because it is 'too small' Kijana mmoja huko China amewasulubu wazazi wake kwa kumnunulua nyumba ambayo yeye anaona ni ndogo mno kwake. Hii ni laana kubwa.
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Sep 4, 2013 36,082 40,735 Dec 28, 2016 #3 Umleavyo ndivyo wakuavyo, usikute wazazi wake wanaishi kwenye hekalu zaidi ya ikulu, halafu mtoto kanunuliwa kaghorofa kule manzese kwa mfuga kunguru
Umleavyo ndivyo wakuavyo, usikute wazazi wake wanaishi kwenye hekalu zaidi ya ikulu, halafu mtoto kanunuliwa kaghorofa kule manzese kwa mfuga kunguru
H havanna JF-Expert Member Sep 17, 2016 2,442 2,653 Dec 28, 2016 #4 Kuna makuzi mabaya sana wazazi huwa wanawafunda watoto, MF Leo mahakamani kuna jamaa ameshtakiwa na mzazi wake kwa kosa LA kumpiga kisa anataka urithi wa nyumba
Kuna makuzi mabaya sana wazazi huwa wanawafunda watoto, MF Leo mahakamani kuna jamaa ameshtakiwa na mzazi wake kwa kosa LA kumpiga kisa anataka urithi wa nyumba
super nova JF-Expert Member Aug 12, 2014 1,479 1,095 Dec 28, 2016 #5 masopakyindi said: Parents buy son flat, he beats them up because it is 'too small' Kijana mmoja huko China amewasulubu wazazi wake kwa kumnunulua nyumba ambayo yeye anaona ni ndogo mno kwake. Hii ni laana kubwa. Click to expand... tiny house are awesome...
masopakyindi said: Parents buy son flat, he beats them up because it is 'too small' Kijana mmoja huko China amewasulubu wazazi wake kwa kumnunulua nyumba ambayo yeye anaona ni ndogo mno kwake. Hii ni laana kubwa. Click to expand... tiny house are awesome...
BAFA JF-Expert Member Jul 19, 2011 3,059 5,927 Dec 28, 2016 #6 chinekeeee said: Bange buanaa Click to expand... Usizingie bangi bana huo ni uchoko wa hali ya juu
masopakyindi Platinum Member Jul 5, 2011 17,882 13,172 Dec 28, 2016 Thread starter #7 BAFA said: Usizingie bangi bana huo ni uchoko wa hali ya juu Click to expand... Huyo kijana ana laana
BAFA said: Usizingie bangi bana huo ni uchoko wa hali ya juu Click to expand... Huyo kijana ana laana
MNYAMAKAZI JF-Expert Member Oct 7, 2014 2,118 2,193 Jan 1, 2017 #9 Acha wafaidi matunda ya malezi bora na ya kisasa kwa jembe lao.