Kijana ajirusha kutoka gorofa ya 9

Kijana ajirusha kutoka gorofa ya 9

Spider

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2011
Posts
1,641
Reaction score
556
kuna kijana amejirusha leo asubuhi kutoka gorofa ya 9 hospitali ya rufaa Bugando, mpaka chini. hakuwa mgonjwa na hajafahamika.
 
hajapona,nadhani alikuwa na lengo la kujiua.
hiyo ni mara ya pili sasa mtu ambaye si mgonjwa kujirusha na kufa.
 
Kwa wenye Imani zetu. huwa tuna husisha vifo vya dizaini hii na yale
makafara yaliyo -bauns, bounce-back (hasa kipindi hiki)

NB: kijana huyo alikuwa ni mwenye akili timamu kabisa, very smart
 
hajapona,nadhani alikuwa na lengo la kujiua.
hiyo ni mara ya pili sasa mtu ambaye si mgonjwa kujirusha na kufa.

Spider;
Sijakuelewa; hajapona, maanake ni nini? Kwani alikuwa na ugonjwa gani?
 
hajapona,nadhani alikuwa na lengo la kujiua.
hiyo ni mara ya pili sasa mtu ambaye si mgonjwa kujirusha na kufa.
Khaa!!! Mimi huwa Napata shida sana kuelewa kitu gani hasa kinachompata mwanadamu mwenye nguvu na akili timamu hadi akaamua kujitoa maisha. Kwani ukishakuwa na nguvu na akili timamu basi unasifa ya kuweza kupambana vita vya maisha :angry:
RIP
 
Back
Top Bottom