Kijana 25yrs kuchapwa fimbo na baba/mlezi je ni sawa..?

emmadizzo

JF-Expert Member
Jan 17, 2017
1,340
1,435
Habari zenu wanajf
Kama kichwa juu hapo kinavyoeleza ni kwamba nina jamaa yangu hapa mtaani jana amekuja home akiwa na majonzi alinisimulia mambo yalivyo home kwao yeye binafsi mama yake alifarki kitambo sana ila huyu wa sasa ni mlezi tu

Mara nyingi kuna kuwa na migogoro ambayo ni midogo tu ila huyu maza figisu nyingi inakuzwa hasa juzi kati jamaa kidogo alipiga pombe ila alirudi home fresh tu wala hakusumbua ila huyu maza alishaelewa jamaa kama kapiga vitu

Alichofanya akamkandia kwa mshua wake kwamba jamaa kaingia home hajielewi kaletwa na watu wamembeba daah kumbe jamaa aliingia home vizuri tu tena mapema...hasa kitu kilichonikereketa mm ni kwamba eti mzee kaja juu anataka kumchapa jamaa hivi kwel kiutamaduni au kiutandawazi dunia ya leo nisawa mtu mzima kuchezea fimbo..

Karibuni ndugu zangu..
 
miaka 25 kwao anatafuta nini?

huyo jamaa yako wanamtreat kulingana na yeye anavyojiweka
sasa kama mwanaume wa miaka 25 bado huna shuguli yoyote ya kufanya kazi kushinda kijiweni na kurudi nyumbani kugombania ugali na wadogo zako unategemea baba yako akufanye nini??

na apigwe tu hadi anyooke...
 
Sasa kama 25 yrs yupo nyumbani wategemea nini, katika maisha nimejifunza watu wanawahi kuchoka(kukinai) kupitia hapo sipendelei kukaa muda mrefu kwa mtu nataka niondoke bado ana hamu ya mimi kua pale. Mwambie akue hizo hela anazotumia kunywa pombe ajichange anunue kigodoro apange mengine yatajipanga humo humo
 
Mie naishauri JF kuayafanyia kazi haya malalamiko. Mods kama huyu baba\mlezi yupo humu mtandikeni ban ya mwaka alaaa haiwezekani kutaka kumchapa kijana mkubwa kabisa mwenye uwezo wa kujinunulia pombe ila hana akili za kujiongeza kuwa mama wa kambo hamtaki hapo home
 
habari zenu wanajf kama kichwa juu apo kinavyoeleza nikwamba nina jamaa angu apa mtaani jana amekuja home akiwa namajonzi alinicmulia mambo yalivyo home kwao yy binafsi mama yke alifarki kitambo sana ila uyu wa sasa nimlezi tu hasa malanyingi kunakuw namigogolo ambayo ni midogo tu ilauyu maza figisu nyingi inakuzwa hasa juzkat jamaa kdogo alipga pombe ila alirudi home fresh tu walahakusumbua ila uyu bi maza alishaelewa jamaa kam kapga vtu ko alichofanya akamkandia kwa mshua wake kwamba jamaa kaingia home hajielewi kaletwa nawatu wamembeba daah kumbe jamaa aliingia home vzuri tu tena mapema...hasa kitu kilchonikeleketa mm nikwamba eti mzee kaja juu anataka kumchapa jamaa iv kwel kiutamaduni au kiutandawazi dunia yaleo nisawa mtu mzma kuchezea fimbo..

Karbuni ndugu zangu..
Kwanza kabisa, na wewe unatakiwa uchapwe kwa kuandika Kiswahili ambacho hakisadifu usanifu wake!
Pili, kuna watu ambao hujichapa wenyewe halafu wakabaki kulaumu watu wengine.
Kurudi nyumbani kwa baba yako huku umelewa, ni utovu wa nidhamu. Aliyemchapa ni Adabu yake ndogo na wala sio baba yake. Mshauri ajirekebishe. Kama unamuona ni mtoto, basi mwambie awe mtoto mzuri anapokuwa kwa baba yeke.
 
miaka 25 kwao anatafuta nini?

huyo jamaa yako wanamtreat kulingana na yeye anavyojiweka
sasa kama mwanaume wa miaka 25 bado huna shuguli yoyote ya kufanya kazi kushinda kijiweni na kurudi nyumbani kugombania ugali na wadogo zako unategemea baba yako akufanye nini??

na apigwe tu hadi anyooke...
ahaaaaa nouma sana ila kuna umri sahihi wa kuondoka nyumbani...
 
kweli sio haki hadi umeleta jukwaa la malalamiko au huyo mzee ni member humu?

anyway kama bado kula kulala utachapwa tu
kula-kulala kaongeza na pombe kupunguza stress dah alafu mbona hii story inaendanana jirani yangu eti ni mbaba 30 years yupo home kisa mshua ni kigogo mahala...
 
Mie naishauri JF kuayafanyia kazi haya malalamiko. Mods kama huyu baba\mlezi yupo humu mtandikeni ban ya mwaka alaaa haiwezekani kutaka kumchapa kijana mkubwa kabisa mwenye uwezo wa kujinunulia pombe ila hana akili za kujiongeza kuwa mama wa kambo hamtaki hapo home
ahaaaa mama wa kambo sumu kwa watoto wa kufikia...
 
habari zenu wanajf kama kichwa juu apo kinavyoeleza nikwamba nina jamaa angu apa mtaani jana amekuja home akiwa namajonzi alinicmulia mambo yalivyo home kwao yy binafsi mama yke alifarki kitambo sana ila uyu wa sasa nimlezi tu hasa malanyingi kunakuw namigogolo ambayo ni midogo tu ilauyu maza figisu nyingi inakuzwa hasa juzkat jamaa kdogo alipga pombe ila alirudi home fresh tu walahakusumbua ila uyu bi maza alishaelewa jamaa kam kapga vtu ko alichofanya akamkandia kwa mshua wake kwamba jamaa kaingia home hajielewi kaletwa nawatu wamembeba daah kumbe jamaa aliingia home vzuri tu tena mapema...hasa kitu kilchonikeleketa mm nikwamba eti mzee kaja juu anataka kumchapa jamaa iv kwel kiutamaduni au kiutandawazi dunia yaleo nisawa mtu mzma kuchezea fimbo..

Karbuni ndugu zangu..
Usituzuge huyo mtu ni wewe View attachment 501458
 
Si utani mpaka kuileta jukwaa la malalamiko. Ajishughulishe akajitegemee ahame nyumbani.
 
Hata wa 30+ kama Bado yupo kwao apigwe tu..

Huku ni kujiendekeza kabisa.Umri wa miaka 25 unatakiwa uwe umepanga hata kichumba kimoja mtaani.
 
Si utani mpaka kuileta jukwaa la malalamiko. Ajishughulishe akajitegemee ahame nyumbani.
tafiti zinaoshesha vijana wengi waliofika ngazi ya chuo wanapenda kazi za maofisi sasa ka wakijua maisha ni safari yenye sintofahamu za kila aina ila kama anasubili uridhi wa mshua ake tumuache tu...
 
Si vizuri kumchapa kijana mwenye umri kama huu ,maongezi tuu yanatosha pale ambapo ameteleza. Lakini mpaka kufikia huu umri bado uko kwenu? Huyo mtu hajielewi na wameshamchoka hapo nyumbani.
 
Back
Top Bottom