Pole sana Mkuu, miaka 25!! Umesimanga watu, umetukana sana, umepata posho nyingi, umejiita Eng.,Mara Dr., umefukuza na kufukuzisha watu kazini, umenyanyasa watu, n.k. Kumbe hata Vyeti si vyako! Sasa Mungu kakuona,
Utawekwa kundi moja na wale wa Bodi ya mikopo. Yaani hadi gerezani utakuwa unalipa deni, sijui utazitoa wapi.
Usijali ila nikukute Central