Kiini Macho fedha za transfer HESLB

Mpambalachuma

JF-Expert Member
Apr 4, 2015
362
44
Hivi karibuni kumekuwa na shitukiza Kwa watendaji wazembe wa Serikal, lkn swali je shitukiza hiyo ina matunda au ni kiini Macho!? Sitak kuamini kuwa tangu mwez wa kumi na moja had Sasa pesa ya transfer Kwa wanafunz wa vyuo bado haijafika sehemu stahiki, je kuna umuhimu Gan wa kufukuza watu ikiwa bado utendaji ni dhaifu!? Serikal fanyen mfuatilie bod ya mkopo watupe pesa zetu, tumechoka Sasa
 
Hivi karibuni kumekuwa na shitukiza Kwa watendaji wazembe wa Serikal, lkn swali je shitukiza hiyo ina matunda au ni kiini Macho!? Sitak kuamini kuwa tangu mwez wa kumi na moja had Sasa pesa ya transfer Kwa wanafunz wa vyuo bado haijafika sehemu stahiki, je kuna umuhimu Gan wa kufukuza watu ikiwa bado utendaji ni dhaifu!? Serikal fanyen mfuatilie bod ya mkopo watupe pesa zetu, tumechoka Sasa
Wewe upo mwaka wa ngapi na chuo gani unasoma coz gani angalia pia kwenye maombi yako uliomba kwa usahihi maana nimeona wengi sana waliokosa mikopo wamekosea kuomba mikopo yao hebu jiangalie vizuri.
 
Wewe upo mwaka wa ngapi na chuo gani unasoma coz gani angalia pia kwenye maombi yako uliomba kwa usahihi maana nimeona wengi sana waliokosa mikopo wamekosea kuomba mikopo yao hebu jiangalie vizuri.
Niliomba mass communication, nikawa nimepata mkopo, lkn nikahama chuo kwenda chuo kingine pia Jina la uhamisho lipo chuoni na registration Tayar nipo first year, Sasa pesa haionekan
 
Ukipita ktk tangazo Lao ktk website ya loan board, wametoa siku mbili Kwa wanafunz kushughilikiwa matatizo Yao Sasa sis imepitika miez na hatujui hatma yetu
 
Back
Top Bottom