Kiini cha kwanini Wayahudi wanalinda nchi yao kwa jasho na damu

Kadosh

Senior Member
May 6, 2021
168
250
Before the state of palestine, there was a country called Israel but the Nazi, Russians, and Allied members killed and pushed jewish out of their land that was located around mt. Zion, later After the defeat of Germany and it's Nazi allies, USA, Britain, France and it's Triple Entente decided to give Jewish people their original land at mt Zion, infact Jerusalem is situated on Mount Zion, so if we're to truly look at this issue with archaeological, Anthropological and any other Scientific facts we'll find that initially there was no country called Palestine.

Palestine was a province in syria, but the Assyrian empire took control of Babylonian empire and all Israelites were taken into captive, Assyrians extended their territorial boundaries into a Israel that what brings contention around East Jerusalem.

This is but a few, many historical facts can prove. Then finally the MOSSAD can infiltrate any country in the world and assassinate anybody they want particularly those supporting their opponents so I do advice that even if we may be at liberty to comment, we should be neutral particularly we citizens of Africa because our governments can't protect us whenever Israeli mossads decides to capture.
 
Isa 43:1-7

Lakini sasa, BWANA aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu. Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.

Maana mimi ni BWANA, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako. Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako.

Usiogope; maana mimi ni pamoja nawe; nitaleta wazao wako toka mashariki, nitakukusanya toka magharibi; nitaiambia kaskazi, Toa; nayo kusi, Usizuie; waleteni wana wangu kutoka mbali, na binti zangu kutoka miisho ya dunia. Kila mmoja aliyeitwa kwa jina langu, niliyemwumba kwa ajili ya utukufu wangu; mimi nimemwumba, naam, mimi nimemfanya.

Now its time wanarudi kwao
 
Isa 43:1-7

Lakini sasa, BWANA aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu. Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.

Maana mimi ni BWANA, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako. Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako.

Usiogope; maana mimi ni pamoja nawe; nitaleta wazao wako toka mashariki, nitakukusanya toka magharibi; nitaiambia kaskazi, Toa; nayo kusi, Usizuie; waleteni wana wangu kutoka mbali, na binti zangu kutoka miisho ya dunia. Kila mmoja aliyeitwa kwa jina langu, niliyemwumba kwa ajili ya utukufu wangu; mimi nimemwumba, naam, mimi nimemfanya.

Now its time wanarudi kwao
Wacha warudi tu
 
Hata kwenye Qurani muhamedi kaandika wayahudi watatawanyika lakini watarudi kwenye ardhi ya Mungu waliopewa na kuanzisha taifa.

Kwa wasiojua maana ya Israel ni mkono wa Mungu.
 
Hata kwenye Qurani muhamedi kaandika wayahudi watatawanyika lakini watarudi kwenye ardhi ya Mungu waliopewa na kuanzisha taifa.

Kwa wasiojua maana ya Israel ni mkono wa Mungu.
Kwenye Quran! weka udhibitisho, usije ukawalisha watu matango pori.
 
Back
Top Bottom