Kihongosi aonya vijana kushangilia vifo

Kihongosi aonya vijana kushangilia vifo

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Kenani Kihongosi, amewaonya vijana kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kushangilia vifo, na amesisitiza umuhimu wa kulinda amani na mshikamano wa taifa.

Akizungumza katika ziara yake, Kihongosi alisema vijana ni nguvu ya taifa na wanapaswa kutambua na kulinda urithi wa nchi uliopatikana kupitia juhudi za wazee waliopigania uhuru na utulivu.

Aliwataka vijana kuepuka vitendo vinavyoweza kuhatarisha mshikamano wa jamii, akisisitiza kuwa kifo ni sehemu ya maisha na hakipaswi kufanywa kuwa jambo la kushangiliwa.

Aidha, alihimiza kulinda mafanikio ya serikali na kuchangia maendeleo ya nchi, huku akieleza kuwa chama kitaendelea…
Faki the mazafaka!
 
Mwambieni na hapo ni off target, siku Izrael akipiga shot on target ataona vijana watakavyofanya part
 
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Kenani Kihongosi, amewaonya vijana kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kushangilia vifo, na amesisitiza umuhimu wa kulinda amani na mshikamano wa taifa.

Akizungumza katika ziara yake, Kihongosi alisema vijana ni nguvu ya taifa na wanapaswa kutambua na kulinda urithi wa nchi uliopatikana kupitia juhudi za wazee waliopigania uhuru na utulivu.

Aliwataka vijana kuepuka vitendo vinavyoweza kuhatarisha mshikamano wa jamii, akisisitiza kuwa kifo ni sehemu ya maisha na hakipaswi kufanywa kuwa jambo la kushangiliwa.

Aidha, alihimiza kulinda mafanikio ya serikali na kuchangia maendeleo ya nchi, huku akieleza kuwa chama kitaendelea…
Hivi iwapo wamefika mahali kuamini kifo ni kifo je utawaaminishaje kifo sii kifo?
 
Haya mambo hayajaanza leo,

Jumamosi ya December 25,1971 Mkulima Said Mwamwindi alipomuua RC wa Iringa Dr.Kleruu huko Isimani raia walikesha wakipiga ulanzi na waliokotwa sana.

NB:Roho mbaya mnawafundisha wenyewe!!
 
Back
Top Bottom