Kigoma kaskazini CHADEMA mchakamchaka

Kigoma kaskazini CHADEMA mchakamchaka

KAMSIGE

Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
13
Reaction score
12
Makamanda wa CHADEMA wanatarajia kufanya mkutano mkubwa wa hadhara kijiji cha Mkabogo ndani ya jimbo la Kigoma kaskazini siku ya Jumapili. Mchakamchaka huu utasimamiwa na vijana wapenda mabadiliko na wazalendo wa kweli wanaoamini mabadiliko ya wana Kigoma kaskazini yataletwa na wana kaskazini wenyewe chini ya viongozi wazawa na sio kama ilivyo kwa mamluki aliyepo. Mkutano utashereheshwa na kamanda Kamsige Mbasa, mhadhiri wa chuo kikuu Mr Akran Yonna,Obama ambaye alikuwa kampeni meneja wa Zitto na utasimamiwa na mwenyekiti na katibu mkoa wa Kigoma.

Mchakamchaka huu umeandaliwa kwa lengo la kumzika mkoloni mweusi wa CCM na vibaraka wake kama Zitto Kaburi na jeneza tayari vimesha andaliwa jambo tunalolisubili ni ibada tu ya mazishi na kuwaimbia wimbo wa parapanda. Karibuni makamanda kote mliko na aminini Kigoma mziki ni mzito, vijana hatulali, morali iko juu na mpango uliopo mwakani CCM hawezi kufufuka kutoka kaburini.
 
Makamanda wa CHADEMA wanatarajia kufanya mkutano mkubwa wa hadhara kijiji cha Mkabogo ndani ya jimbo la kg kaskazini siku ya jumapili.Mchakamchaka huu utasimamiwa na vijana wapenda mabadiliko na wazalendo wa kweli wanaoamini mabadiliko ya wanakigoma kaskazini yataletwa na wanakgkaskazini wenyewe chini ya viongozi wazawa na sio kama ilivyo kwa mamluki aliyepo.Mkutano utashereheshwa na kamanda Kamsige,Mbasa,Mhadhiri wa chuo kikuu Mr akran Yonna,Obama ambaye alikuwa kampeni manager wa Zitto na utasimamiwa na Mwenyekiti na katibu mkoa wa kigoma.Mchakamchaka huu umeandaliwa kwa lengo la kumzika mkoloni mweusi wa CCM na vibaraka wake kama Zitto,Kaburi na jeneza tayari vimesha andaliwa jambo tunalolisubili ni ibada tu ya mazishi na kuwaimbia wimbo wa parapanda.kalibuni makamanda kote mliko na aminini kg mziki ni mzito,vijana haturali ,morali iko juu na mpango uliopo mwakani ccm hawezi kufufuka kutoka kaburini.

Mods ngonjera kama hizi za huyu mlevi alie amka na konyagi asubuhi zinapunguza hadhi ya JF,thread za watu wenye akili ndogo muwe mna ziondoa mapema! ni ujinga huu
 
Kha! Nikajua kuna cha maana kumbe upuuzi mtupu!
 
Ninakitabiria cdm kuwa mwakani lazima kipoteze majimbo na kushindwa vibaya ktk urais kuliko hata 2010 kwasababu,
wanatumia muda na nguvu nyingi kutaka kujaribu kumdhoofisha zitto kisiasa, huku wakijisahau kuwa adui yao mkuu ni Ccm.
Pia wanasahau kuwa nguvu ya cdm ya mwaka 2010 si nguvu walionayo sasa baada ya kuwa na mgogoro na Zitto ambae nae anawafuasi wake ndani ya chama ambao wapo na bado wanamuunga mkono.

My take: Licha yakwamba moja ya mikakati yenu nikutaka kumdhoofisha Zitto kwakuwa mnaufaham ukweli kuwa ni kiongozi Mwenye uwezo mkubwa kuliko viongozi wote wa cdm.

Hivyo ningewashauri kuwa jaribuni kutumia muda na nguvu zenu kukijenga chama chenu na sio kumfuatilia Zitto ambae hana muda nanyi na bado anazidi kusonga mbele.
 
Ninakitabiria cdm kuwa mwakani lazima kipoteze majimbo na kushindwa vibaya ktk urais kuliko hata 2010 kwasababu,
wanatumia muda na nguvu nyingi kutaka kujaribu kumdhoofisha zitto kisiasa, huku wakijisahau kuwa adui yao mkuu ni Ccm.
Pia wanasahau kuwa nguvu ya cdm ya mwaka 2010 si nguvu walionayo sasa baada ya kuwa na mgogoro na Zitto ambae nae anawafuasi wake ndani ya chama ambao wapo na bado wanamuunga mkono.

My take: Licha yakwamba moja ya mikakati yenu nikutaka kumdhoofisha Zitto kwakuwa mnaufaham ukweli kuwa ni kiongozi Mwenye uwezo mkubwa kuliko viongozi wote wa cdm.

Hivyo ningewashauri kuwa jaribuni kutumia muda na nguvu zenu kukijenga chama chenu na sio kumfuatilia Zitto ambae hana muda nanyi na bado anazidi kusonga mbele.

Hivi kufanya mkutano kwenye mkoa wa Kigoma ni kupambana na Zitto? Kwanini mnakuja na siasa mavi hivi? Hivi uoni ACT wanavyofanya? wanapojaribu hata kuvamia ofisi za CHADEMA na kutaka kuzifanya za kwao hilo uoni? Kweli NYANI HAONI KUNDULE. Na tatizo la kudhani kuwa Zitto ndio bora kuliko chama ni ujinga, na mie nashauri kuwa ni bora Zitto aondoke CHADEMA ili kutejenge chama na sio mtu. Na ujinga huu ndio mnaendelea nao, kujenga chama juu ya watu badala ya misingi. ACT inadhani kuwa Zitto ndio msingi wao, jengeni chama nyie wajinga, Zitto atapita na kupotea ila chama ni misingi. Mimi nitabakia kuwa CHADEMA hata nani aondoke, na siku CHADEMA ikifa naacha kuwa mwanachama wa chama cha siasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom