Siku zote anayekupenda anakuambia ukweli, sasa sisi chadema tunataka tu tupate sifa tusikosolewe wala kupewa ushauri hata kama kwa maufaa yetu!hii sio sahihi mjomba. alosema huyu jamaa ni la maana sana, je kama jamaa ni mamluki mwisho wa siku nani ataumia? au kwa vile ccm hawafanyi assessment na chadema wasifanye? think big broda