CDM ni kawaida yenu kumpokea kila mwana CCM anayekuja kwenu! swali langu ni je huwa mnawafanyia character assessiment? kumbukeni hata Shibuda alihamia hivyohivyo!
CDM ni kawaida yenu kumpokea kila mwana CCM anayekuja kwenu! swali langu ni je huwa mnawafanyia character assessiment? kumbukeni hata Shibuda alihamia hivyohivyo!
Nenda ukapiganie demokrasia ndani ya CDM, muulize ZITO kawa Naibu Katibu Mkuu hewa maamuzi yote ni kanda ya Kaskazini. Hata ikatokea Kafulila amepoteza ubunge, watamleta mhindi agombee ili kulipa fadhila kwa Sabodo
There is no oposition in TZ politics. Sababu katiba itawafanya wawe mafisadi. As for now CHADEMA wamefanikiwa kufanya vurugu tu lakini hawajaweza na hawataweza kubadilisha mwelekeo wa maendeleo hadi ipatikane katiba toka ughaibuni.
There is no oposition in TZ politics. Sababu katiba itawafanya wawe mafisadi. As for now CHADEMA wamefanikiwa kufanya vurugu tu lakini hawajaweza na hawataweza kubadilisha mwelekeo wa maendeleo hadi ipatikane katiba toka ughaibuni.