Wakati serikali ikisisitiza watumishi wake wajiendeleze kusoma ili kukabiliana na mabadiliko ya ulimwengu,serikali hiyi hiyo inateua viongozi wa nyadhifa nyeti kama hizo huku baadhi wakiwa hawajaenda shule kikamilifu eti kwa sababu ni heshima kwake ooh unajua yeye ni kanali au jenerali alipigana vita vya kagera akamwondoa nduli.fine na hongera zake mpiganaji.kwa nini asitumikie relevant field of his proffesssion unamleta kuchapa waalimu viboko na kuwarusha kichura?nasikia wengi wanasaidiwa na rasi na dasi ambao wengi ni cream product ya mzumbe.eti ikija barua iliyoandikwa ki'oxford anasema yupo busy kama mlango wa daladala anawahi kumpokea mhe airport,au ana kikao,au anaenda kusimamia zoezi la kugawa vyandaruwa eti rasi au dedi aisome aijibu kisha yeye ataisaini!!!!!!mkuu unaona hiyo impact ya masoja?