Confirmed: Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya RFA ya saa 10 ni kwamba Lt.Col Mrengo DC wa Ilemela amefariki akiwa India kwa matibabu
Sijui ni coincidence ama maana mwaka jana DC wa Nyamagana C.Rugarabamu naye alifariki akiwa huko huko India kwa matibabu....
R.I.P DC Mrengo