Nimesoma makala yako nakugundua kuwa ubongo wako una uvimbe au huenda hukumaliza dozi yako huko Milembe Hospital, huwezi kusema CCM ni chama ambacho hakuna cha maana kilichofanya wakati wewe mwenyewe hivyo vi simu na labtop ni matunda ya ccm, bila chama hiki kuiimarisha Serikali ambayo iliingia mikataba na Mataifa mbalimbali nakupewa masafa ambayo wewe leo unayatumia kutupia upuuzi na utumbo wako humu mitandaoni. Pia barabara unazotumia ni zao la usimamizi mzuri wa serikali ya ccm, huduma za Hospitali ambako kila unapougua Kaswende yako huwa unatibiwa na Madaktari waliosomeshwa kwa fedha ya serikali ya ccm. Kifupi huna akili.