adui yangu namba moja ni ccm. nwaichukia sana ccm, siwapendi ccm
mnaifanya tz kuwa maskini huku nyie wachache mkineemeka. ccm i hate you so much! i wish ningekuwa radi nikawasambaratisha ccm wote mkapotea ktk uso wa dunia hii, mmeiba kura zetu mmepokonya ushindi wa wabunge wetu sasa hata mpiganaji sita mmemuengua ili muendelee kula keki ya taifa bila bugudha. alikuwepo hitler alitisha vibaya mno lkn mwisho wake uliwadia akaondoka, nduli wenyewe tulimtimua, mobutu kuku wa zabanga sembuse makamba na genge hili la ccm, ipo siku mtaondoka tuuu!!!