Kifahamu chuo cha university of Bagamoyo

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,661
Ni chuo ambacho kimeanzishwa rasmi 2011 na mwaka jana wakafanya mahafali ya kwanza pale kariakoo na mgeni rasmi akiwa makamu wa rais Dr Billali

Chuo ni kichanga na kinatumia majengo ya kukodi yanayo endelea hapa ni kuwa

1)juzi kati hapa tulikuja na Makamu wa rais Dr Billali kuweka jiwe la msingi hapa Bagamoyo katika kijiji cha KIRUMO kuashiria kuwa ujenzi wa chuo utaanza rasmi January 2015 likafanyika

2)leo tena ni mahafali ya pili na mgeni rasmi ni BENARD MEMBE

3)umeanzishwa mfuko ujilikanao BENARD MEMBE FOUNDATION ambao utakuwa ukiongozwa na chuo cha bagamoyo kuwasomesha wale wasio kuwa na uwezo na wakependa kusoma chuo hikii lakini mfuko huu utasaidia pia wanafunzi wa vyuo vingine kudomeshwa

4)chuo cha BAGAMOYO mwakani kitadahili wanafunzi kwa mara ya kwanza katika kozi ya VETERAN MEDICINE ambayo inatolewa na SUA tuu sasa na UNIVERSITY OF BAGAMOYO nacho kitakuwa kinatoa

5)kina walimu wengi lakini wengi wao ni wale wa part time kutoka UDSM na vyuo vingine

Kuna mabaya pia lakini hayo siku nyingine so kwa leo ni hayo karibuni UB
 
Philosophy and psychology graduates ni wawili tuu ukizingatia ndo chuo pekee kinacho fundisha hii kozi
 
4)chuo cha BAGAMOYO mwakani kitadahili wanafunzi kwa mara ya kwanza katika kozi ya VETERAN MEDICINE ambayo inatolewa na SUA tuu sasa na UNIVERSITY OF BAGAMOYO nacho kitakuwa kinatoa

Mkuu hapo kwenye nyekundu vipi?
 
4)chuo cha BAGAMOYO mwakani kitadahili wanafunzi kwa mara ya kwanza katika kozi ya VETERAN MEDICINE ambayo inatolewa na SUA tuu sasa na UNIVERSITY OF BAGAMOYO nacho kitakuwa kinatoa

Mkuu hapo kwenye nyekundu vipi?

Sijui ulivyo elewa ndivyo ilivyo sijui typing error au vipi
 
Ni chuo ambacho kimeanzishwa rasmi 2011 na mwaka jana wakafanya mahafali ya kwanza pale kariakoo na mgeni rasmi akiwa makamu wa rais Dr Billali

Chuo ni kichanga na kinatumia majengo ya kukodi yanayo endelea hapa ni kuwa

1)juzi kati hapa tulikuja na Makamu wa rais Dr Billali kuweka jiwe la msingi hapa Bagamoyo katika kijiji cha KIRUMO kuashiria kuwa ujenzi wa chuo utaanza rasmi January 2015 likafanyika

2)leo tena ni mahafali ya pili na mgeni rasmi ni BENARD MEMBE

3)umeanzishwa mfuko ujilikanao BENARD MEMBE FOUNDATION ambao utakuwa ukiongozwa na chuo cha bagamoyo kuwasomesha wale wasio kuwa na uwezo na wakependa kusoma chuo hikii lakini mfuko huu utasaidia pia wanafunzi wa vyuo vingine kudomeshwa

4)chuo cha BAGAMOYO mwakani kitadahili wanafunzi kwa mara ya kwanza katika kozi ya VETERAN MEDICINE ambayo inatolewa na SUA tuu sasa na UNIVERSITY OF BAGAMOYO nacho kitakuwa kinatoa

5)kina walimu wengi lakini wengi wao ni wale wa part time kutoka UDSM na vyuo vingine

Kuna mabaya pia lakini hayo siku nyingine so kwa leo ni hayo karibuni UB

Good news
 
Anzisheni MBA ambazo zipo flexible na gharama nafuu mfunike......
 
Back
Top Bottom