fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,606 Reaction score 8,269 Nov 30, 2023 #1 Nauliza wajuzi, hiki ni kinaitwaje na kina kazi gani, kwenye mapishi ya chakula masna nimekikuta kwenye seti ya vifaa vya mapishi niliyonunua
Nauliza wajuzi, hiki ni kinaitwaje na kina kazi gani, kwenye mapishi ya chakula masna nimekikuta kwenye seti ya vifaa vya mapishi niliyonunua
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,606 Reaction score 8,269 Dec 8, 2023 Thread starter #2 fimboyaasali said: nauliza wajuzi,hiki ni kinaitwaje na kina kazi gani,kwenye mapishi ya chakula masna nimekikuta kwenye seti ya vifaa vya mapishi niliyonunuaView attachment 2829420 Click to expand... Hatimaye nimeelewa kazi ya hicho kifaa, kumbe ni cha kutengezea aina za mapambo kwenye maandazi yanapikwa kwa unga wa ngano
fimboyaasali said: nauliza wajuzi,hiki ni kinaitwaje na kina kazi gani,kwenye mapishi ya chakula masna nimekikuta kwenye seti ya vifaa vya mapishi niliyonunuaView attachment 2829420 Click to expand... Hatimaye nimeelewa kazi ya hicho kifaa, kumbe ni cha kutengezea aina za mapambo kwenye maandazi yanapikwa kwa unga wa ngano
Seawhale JF-Expert Member Joined Sep 25, 2016 Posts 1,850 Reaction score 2,397 Dec 9, 2023 #3 Kinaponda vitu laini pia kama viazi vilivyoiva.
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,606 Reaction score 8,269 Dec 10, 2023 Thread starter #4 Seawhale said: Kinaponda vitu laini pia kama viazi vilivyoiva. Click to expand... ni kweli
Patra31 JF-Expert Member Joined Apr 24, 2020 Posts 6,934 Reaction score 13,950 Dec 10, 2023 #5 Potatomasher
Zemanda JF-Expert Member Joined Jan 10, 2021 Posts 10,998 Reaction score 23,496 May 1, 2024 #6 Hiyo inaitwa "Masher". Inatumika mumunya au kusaga nyanya, viazi, maboga, au mayai ya kuchemsha kwenye chombo.
Hiyo inaitwa "Masher". Inatumika mumunya au kusaga nyanya, viazi, maboga, au mayai ya kuchemsha kwenye chombo.