GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Kipesani ni lugha za huo mkoa wa kusini wanaopenda wanawake kuliko pesa sio kiswahili hichoHicho kinaitwa kipesani dawa ndo hiyo hiyo ndura
Kipesani ni lugha za huo mkoa wa kusini wanaopenda wanawake kuliko pesa sio kiswahili hichoHicho kinaitwa kipesani dawa ndo hiyo hiyo ndura
Kipesani ni lugha za huo mkoa wa kusini wanaopenda wanawake kuliko pesa sio kiswahili hicho
Mkuu ndula ni kilugha au maana kiswahli inaitwa ndulele
....inaitwa tura bwana na sio ndula
Wasiliana na walioko mashambani.Kwa hapa mjini Dar tutazipata wapi ase ukizingatia hakuna mashamba huku
Au turaPoa ndugu
Kuna kipindi hapo nyuma wiki iliyopita nliweka post hapa kuhusu kidole changu kilichovimba ikidaiwa kina mdudu ndani, Nilienda hospitalini waliniambia nitumie dawa za ammoxylin na panadol lakini hazikusaidia, Nikabadilisha hospitali nikaenda nyingine wakaniambia nitoe kucha nikaona ngoja nitumie ushauri niliopewa na wana jf wa kutumia Ndula, Hio ndula niliichuma nikaikata juuu na chini na kuipachika sehemu iliyovimba kama vile pete. Nliivaa kwa siku mbili na kidole kimepona kabisaaaa...
SHUKRANI SANA WANAJAMII FORUMS
unaivaa kwa masaa 24 ,mimi nlivaa kwa siku mbili kwa jumla ya masaa 22 hivi mana kuna sehem nyingine nlikuwa navua na nikienda kuoga naivua jata nikiwa kwenye mzunguko navua ila nikifika home ama wakati wa kulala naivaaKwahiyo mkuu ulivaa kama pete kwa siku ngapi ukitaka kuoga ulikuwa unavua hiyo pete ama?
Samahani kama sijaeleweka vizuri niliweka kidole kwenye kikopo chenye mafuta ya taaa kwa muuda dk 10 asubuhi,mchana na jioni. Nilifanya hvyo siku moja tu!Kwahiyo mkuu ulivaa kama pete kwa siku ngapi ukitaka kuoga ulikuwa unavua hiyo pete ama?
Labda mlandizi huko kwenye vichaka, hapo dar sehemu nyingi zimejengwa, huku mbeya zipo kibaoKwa hapa dar napata wapi ndulele
Uliimenya?. mbona iko hivyo ..ndula .ndulele na wengine huita tunguja!