Nyabutoro
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 1,340
- 1,590
Wa kale walisema "Mdomo uliponza kichwa''
Tulianza kidogokidogo kuyaona matendo ya utekaji, uzuiaji wa mikutano, udhibiti wa vyombo vya habari nk kama mambo madogomadogo.Kwa sasa yameungana haya mambo madogomadogo na kuwaamsha wanaotawala dunia, wale wanaoamua nani atawale wapi.
Kwa CCM hii si dalili njema, wanaweza kuja kujuta wakiwa wamechelewa.
Tunachoomba kwa Mola hiki ni chama kikubwa, kuondoka kwa mizizi yakwe kwaweza kuangusha na nyumba za mbali, Mungu tusaidie.
Tulianza kidogokidogo kuyaona matendo ya utekaji, uzuiaji wa mikutano, udhibiti wa vyombo vya habari nk kama mambo madogomadogo.Kwa sasa yameungana haya mambo madogomadogo na kuwaamsha wanaotawala dunia, wale wanaoamua nani atawale wapi.
Kwa CCM hii si dalili njema, wanaweza kuja kujuta wakiwa wamechelewa.
Tunachoomba kwa Mola hiki ni chama kikubwa, kuondoka kwa mizizi yakwe kwaweza kuangusha na nyumba za mbali, Mungu tusaidie.