Aisee we utakuwa unataka mahiga wawatu atumbuliwe.![]()
Naombeni kujuzwa kama ni sawa kupiga picha ya kiofisi/kiserikali wahusika wakishikana mabega/nyonga!
Mchango upi? Tutambulishe mchango wake kidogo basi.Aisee huyu mzee sijui kwanini watu mnamuandama hivi? Mchango wake hamuutambui Hata kidogo