Naomba mwenye taarifa za lini wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka 2017 watapangiwa shule za serikali kwa ajili ya kuendelea na kidato cha tano anijuze. Au kama tayari wameshapanga niingie kwenye web ipi ya serikali.
Naomba mwenye taarifa za lini wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka 2017 watapangiwa shule za serikali kwa ajili ya kuendelea na kidato cha tano anijuze. Au kama tayari wameshapanga niingie kwenye web ipi ya serikali.
Tuombe tu kuwe na muda wa kutosha kati ya selection kufanywa na shule kufunguliwa vinginevyo itakuwa tia maji tia maji kwa wale watakao kosa selection wakitegemea shule za serikali.
Tuombe tu kuwe na muda wa kutosha kati ya selection kufanywa na shule kufunguliwa vinginevyo itakuwa tia maji tia maji kwa wale watakao kosa selection wakitegemea shule za serikali.
Naomba mwenye taarifa za lini wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka 2017 watapangiwa shule za serikali kwa ajili ya kuendelea na kidato cha tano anijuze. Au kama tayari wameshapanga niingie kwenye web ipi ya serikali.