Kichwa Chini: Logic Does not Support Mwigulu..Politics Do

Kichwa Chini: Logic Does not Support Mwigulu..Politics Do

simbilisi

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
792
Reaction score
227
Bungeni; swala la ugaidi chadema ndio walioanza kusema kitu ambacho hakikutakiwa kusemwa hata kidogo. CHADEMA pamoja na kuwa zengwe lote hili laweza kuwa ni mbinu, bado there is no execuse za kuruhusu mbinu hizo na leo kuwa wahusika wakuu wa kesi kama hii

Iko hivi.....Mwigulu tutamtukana matusi yote na kusigina meno kwa hasira na uchungu, lakini impact ya maneno yake ni kubwa, wako wanachadema watakayoyaamini na kupoteza imani na CHADEMA, wako ambao hawatayaamini...WAKO wasio ma chama ambao watayaamini wako ambao hawatayaamini...lengo ni kuondoa imani ya CHADEMA kwa wananchi, na goli likiingia haijalishi limefungwa kwa mkono au la...kikubwa ni kuzuia

sasa swala hapa sio akili inahusika vipi, hizi zinaitwa rafu ambazo kwenye siasa bado zina credit na nguvu kubwa mno.

Kikubwa ni kutulia na kupanga mbinu za kurudisha mashambulizi ili kupata support ya wananchi, ila kubishana bishana huku na kuongea hovyo ili hali kila mtu ana mdomo na haujui opponent wako ana vitu gani anavyojivunia ni HATARI SANA

observer..
 
wewe unataka CHADEMA ikishambuliwa ikae kimya?. kweli wewe CCM. CCM ndo wemezoea kutokujibu shutuma dhidi yao lakini chadema inaposhutumiwa inajibu hapohapo. Nape alipokua moshi alisema CHADEMA chama cha kigaidi, je ulitaka CHADEMA isemeje?. sikubaliani na wewe. mia
 
Kwa siasa za namna hii ya akina Mwigulu, hakika hatuwezi kuendelea kama taifa.
Badala ya kufanya mambo ya msingi watu wanapanga mambo ya ovyo na kuyatekeleza tena zaidi kwa pesa ya wananchi.

Mungu atunusuru na hili janga la taifa ccm na akina Mwigulu.
 
Mwigulu ndio habari ya mjini sasa hawahemi hawapumui
 
Hivi chadema ikifa au hata upinzani wote ukifa ikabaki ccm na labda wapinzani wote wahamie ccm mwingulu atapata faida gani
 
Mbona CHADEMA wakimuona Mwigulu (jembe la siasa) wanapatwa na hofu kubwa? Huyu Mwigulu wetu atamuondoa Dr. Slaa (kibabu) kwa presha na kumfanya Mbowe (div 0) aokote makopo.
 
Bange mnazovuta bila kula kuna siku zitawaumbua ukweni....nawashauri muwe mnakula kwanza, bila shaka ndiyo maana mbunge Kessy ameona ni vyema serikali ikaruhusu bange kuwa zao halali ili watu wavute kwa uhuru.... naona ccm mnajifariji kweli, siyo mbaya mnapokuwa na msongo wa mawazo...mwigulu story yake mwisho 2015, na msifikiri kuwa mnauwezo wa kuifuta CHADEMA kwenye ramani za siasa za BONGO...NDOTO HIZO!!!!!!!!!!!!!!!
 
yan huyu mwigulu natamani mkumbo aje amgalagaze pale jimboni kwake
 
Kama ni kupanga star wa kisiasa wa mwezi march na April mwigulu ameongoza!

Kaongoza kwa wehu? Kwa taarifa yako watu makini walio ndani ya CCM wanakereka na uhuni wa Mwigulu maana unakivunjia chama heshima. Juzi tulishuhudia Bungeni baadhi ya wabunge makini kama Mwandosya,Sitta na wengineo wakiwa wameshika tama na sura za kukata tamaa wakimsikiliza Nchemba. Wenye fikra kama wewe ndio mnamwona star ila image yachama anaiharibu.
 
Bungeni; swala la ugaidi chadema ndio walioanza kusema kitu ambacho hakikutakiwa kusemwa hata kidogo. CHADEMA pamoja na kuwa zengwe lote hili laweza kuwa ni mbinu, bado there is no execuse za kuruhusu mbinu hizo na leo kuwa wahusika wakuu wa kesi kama hii

Iko hivi.....Mwigulu tutamtukana matusi yote na kusigina meno kwa hasira na uchungu, lakini impact ya maneno yake ni kubwa, wako wanachadema watakayoyaamini na kupoteza imani na CHADEMA, wako ambao hawatayaamini...WAKO wasio ma chama ambao watayaamini wako ambao hawatayaamini...lengo ni kuondoa imani ya CHADEMA kwa wananchi, na goli likiingia haijalishi limefungwa kwa mkono au la...kikubwa ni kuzuia

sasa swala hapa sio akili inahusika vipi, hizi zinaitwa rafu ambazo kwenye siasa bado zina credit na nguvu kubwa mno.

Kikubwa ni kutulia na kupanga mbinu za kurudisha mashambulizi ili kupata support ya wananchi, ila kubishana bishana huku na kuongea hovyo ili hali kila mtu ana mdomo na haujui opponent wako ana vitu gani anavyojivunia ni HATARI SANA

observer..

Hayo yote yanayojitokeza hivi sasa ni matokeo ya kumlazisha mtu kama Mwigulu kushika nafasi kubwa ya chama ambapo tumeona kabisa uwezo wake kiutawala ni mdogo sana. Hakuna hata anachoongea kikaonekana ni tamko la kiongozi wa juu wa chama . CCM kunahaja wachukue maamuzi kabla hajasababisha matatizo makubwa kwani tunaona hivi sasa kila siku ni kashfa na pale tu anapojitokesha kuongea kwenye vikao au umati wa watu ni kama vile anachochea mgogoro. CCM mnao watu wengi wenye uwezo tuache kumchagua mtu kwa sababu ya kufahamiana ni aibu kubwa CCM inapata hivi sasa kutokana na huyu jamaa mwenye upeo mdogo kiutawala.
 
Back
Top Bottom