dream
New Member
- Jan 7, 2011
- 4
- 0
Ina maana wenye mamlaka wameamua kupuuzia hizi wanazosema ni sauti za wachache au kiburi cha madaraka na ubinafsi?
Kila lisemwalo mtandaoni linaonekana ni jambo la wachache au sio wenye maana. Wenye mamlaka wakipanda jukwaani wanajibu kwa kebehi maandiko na mapendekezo yanayo ungwa mkono na watumia mitandao kama vile si raia wala kinacho semwa hakina mantiki.
Kila lisemwalo mtandaoni linaonekana ni jambo la wachache au sio wenye maana. Wenye mamlaka wakipanda jukwaani wanajibu kwa kebehi maandiko na mapendekezo yanayo ungwa mkono na watumia mitandao kama vile si raia wala kinacho semwa hakina mantiki.