Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,329
- 4,203
kila siku yeye ni wakufeli tu. Nashangaa sijui nani alimdanganya kwamba yeye ni material za soccer la mbeleAcheni uongo Kibu alisharudi Dar baada ya kufeli kwenye majaribio,jana clouds walikuwa wanasema yupo Dar kuendelea na Simba
Kwani simba iko Dar, au iko Misri kwa ajili ya pre season? Yeye yuko Dar kufanya nini, na wakati timu yake iko Misri?Acheni uongo Kibu alisharudi Dar baada ya kufeli kwenye majaribio,jana clouds walikuwa wanasema yupo Dar kuendelea na Simba
Dar au Egypt?Acheni uongo Kibu alisharudi Dar baada ya kufeli kwenye majaribio,jana clouds walikuwa wanasema yupo Dar kuendelea na Simba
Simba Iko Misri wachezaji wakishindana kuruka sarakasi kwenye swimming pool ๐คฃKwani simba iko Dar, au iko Misri kwa ajili ya pre season? Yeye yuko Dar kufanya nini, na wakati timu yake iko Misri?
Hii ndio breaking News?I will be short
that's the breaking news, kibu mkandaji Katemwa na simba,
Reasons : nidhamu pia kukataa kuja chan taifa stars pia.
over
Kibua watamu sana๐Yule alikua amekaa kwnye bwawa la kuogolea anatabsamu jana Misri alikua Kibua???
Halafu wanapandana migongoni eti kwenye hiyo swimming pool! Aisee wachezaji wa simba wana utani sana. ๐Simba Iko Misri wachezaji wakishindana kuruka sarakasi kwenye swimming pool ๐คฃ
Habari siyo ya kweli. Kibu yuko kambini.I will be short
that's the breaking news, kibu mkandaji Katemwa na simba,
Reasons : nidhamu pia kukataa kuja chan taifa stars pia.
over
Acha wivu mzee...hayo mambo ya michezo ya maji ya kurelaxx kwenu huko uto hayapo labda ya kuliliana harusini...๐๐Halafu wanapandana migongoni eti kwenye hiyo swimming pool! Aisee wachezaji wa simba wana utani sana.
Huku kwetu hawapo wanakuja wamegandaKibua watamu sana๐
Dar wamejaa mbonaโHuku kwetu hawapo wanakuja wameganda