Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 776
- 1,296
- Thread starter
- #21
Mkuu, Kwa wazawa kibu denis ni moja ya wachezaji bora sana. Tanzania tunawachezaji bora wachache sana.Huyu huwa namwonea huruma, ni mpambanaji, anatafuta ugali kama wengine tu, ila mpira hajui, anajua tu kukimbiakimbia, hatumii akili. hata hivyo watu kama hao wanahitajika kwenye timu na wana faida kwa upande wao, waendelee tu kumweka kwenye timu na ni mhimu kumsaidia kimaisha. nimejitahidi kutoa fair comment.
Ukitaka kujua Kibu ni bora, angalia strength za kibu kama Kibu.
Hakuna Coach atakuja pale Simba akamkataa Kibu D, labda awe Kocha mzawa sababu anasikiliza maneno ya mtaa.