Kibonzo cha Kipanya cha leo leo.

Kipanya umeanza lini kushusha suruali?
 
Mi mwenyewe hua nikiskia kila kipindi ngoma inarudiwa lazma niulize vijana 'vp jamaa mzima!??'
 
Kipanya ana akili sana!
Sijui ni asilimia ngapi ya waTZ humpata vizuri huyu jamaa?
 
Aisee Kipanya ni noma sana..hii kitu nakubaliana nae kwa 100%..juzi alipokufa Geez Mabovu Redio ya Wafu kwenye kipindi chao cha mchana waliweka kipindi maalamu cha kuplay nyimbo za marehemu..wakati yupo hai hawajawahi kufanya hicho kitu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…