GE2025 Kibonde: Chama Makini tuingia madarakani tutatoa elimu bure kuanzia chekechea hadi chuo kikuu

GE2025 Kibonde: Chama Makini tuingia madarakani tutatoa elimu bure kuanzia chekechea hadi chuo kikuu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mgombea urais kupitia Chama cha MAKINI, Ndg. Coaster Kibonde, amesema endapo atapata ridhaa ya kuongoza nchi yeye na serikali yake watatoa elimu bure kwa watoto wa kitanzania kuanzia elimu ya chekechea hadi vyuo vikuu.

Ameyasema hayo katika ufunguzi wa kampeni zao leo zilizofanyika Dar es salaam

 
Back
Top Bottom