Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,217
- 85,349
pumbavu...Rorya haigawanyiki,demu shit,nendeni zenu nyie wahamiaji
Marahii umesha panic? Loohh..!
pumbavu...Rorya haigawanyiki,demu shit,nendeni zenu nyie wahamiaji
Wana Rorya Kibasso vipi?
Kwa uchache ni kuwa huyu bwana alikuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM ila Mtemvu alimletea ukabila na upwani.
Huyu bwana ni taa na nuru a wana Rorya si mubaguzi,hatoi rushwa za kukufanya uwe mjinga kama Airo, bali ni aina ya kiongozi ambaye anajenga uwezo wa watu wake ili washirikiane kujiletea maendeleo,anajua halmashauri,anaweza kututafutia wafadhili ili wawekeze Rorya,pia atatusaidia ktk kutuletea wataalam hasa wa ugani ili tuweze kulima zao la biashara.Maana hapa Rorya hatuna zao la biashara na wataalam.
Pia atatumia nafasi kuleta watalii hasa kutoka ulaya na kushirikiana na mashirika ya kimarekani ktk kutembelea Rorya maana hapa ndipo jamii ya Rais wa maerekani wajaluo wanapokaa hivyo ikitumiwa vizuri karibu watalii wote wanaokuja Serengeti na Ngorongoro watakuja Rorya.
Kibasso njoo lakini kwa tiketi ya UKAWA.
..yes,luo tutawafuta kabisa ccm na hatutaki kuambukizwa ugonjwa wa omba omba na tasaf,maana yanagawa fedha ili zikiisha ukawaombe!2015 Rorya tutampa mtu anayeyajua matatizo ya wanarorya bila kuangalia kabila lake. Ila asiwe GAMBA, awe UKAWA.
sb Airo anafanya watu wa Rorya kuwa wajinga.Wanapenda kucheza muzic tu,na huyu Mbuge akija anawapa 1000 huyoooooooooo............tumkate huyu Airo,tunataka tufanye kazi tupate maendeleo,hii biashara ya kuomba omba anatuambukiza umatonya!Hakuna shida kama mtampata mtu mwadilifu coz rorya kuna fursa kibao but vijana vichwani wanawaza tu kucheza mziki.
Wana Rorya Kibasso vipi?
Kwa uchache ni kuwa huyu bwana alikuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM ila Mtemvu alimletea ukabila na upwani.
Huyu bwana ni taa na nuru a wana Rorya si mubaguzi,hatoi rushwa za kukufanya uwe mjinga kama Airo, bali ni aina ya kiongozi ambaye anajenga uwezo wa watu wake ili washirikiane kujiletea maendeleo,anajua halmashauri,anaweza kututafutia wafadhili ili wawekeze Rorya,pia atatusaidia ktk kutuletea wataalam hasa wa ugani ili tuweze kulima zao la biashara.Maana hapa Rorya hatuna zao la biashara na wataalam.
Pia atatumia nafasi kuleta watalii hasa kutoka ulaya na kushirikiana na mashirika ya kimarekani ktk kutembelea Rorya maana hapa ndipo jamii ya Rais wa maerekani wajaluo wanapokaa hivyo ikitumiwa vizuri karibu watalii wote wanaokuja Serengeti na Ngorongoro watakuja Rorya.
Kibasso njoo lakini kwa tiketi ya UKAWA.
Ni Kibaso yupi, lile jamaa nene kama yule wa viongozi wa Dar wanatumia makalio kufikiri? Nasikia hawa ni ndugu, yule wa makalio na Kibaso. Asijidanganye hawezi kumwondoa Aira, labda anapima upepo!Wana Rorya Kibasso vipi?
Kwa uchache ni kuwa huyu bwana alikuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM ila Mtemvu alimletea ukabila na upwani.
Huyu bwana ni taa na nuru a wana Rorya si mubaguzi,hatoi rushwa za kukufanya uwe mjinga kama Airo, bali ni aina ya kiongozi ambaye anajenga uwezo wa watu wake ili washirikiane kujiletea maendeleo,anajua halmashauri,anaweza kututafutia wafadhili ili wawekeze Rorya,pia atatusaidia ktk kutuletea wataalam hasa wa ugani ili tuweze kulima zao la biashara.Maana hapa Rorya hatuna zao la biashara na wataalam.
Pia atatumia nafasi kuleta watalii hasa kutoka ulaya na kushirikiana na mashirika ya kimarekani ktk kutembelea Rorya maana hapa ndipo jamii ya Rais wa maerekani wajaluo wanapokaa hivyo ikitumiwa vizuri karibu watalii wote wanaokuja Serengeti na Ngorongoro watakuja Rorya.
Kibasso njoo lakini kwa tiketi ya UKAWA.
Wana Rorya Kibasso vipi?
Kwa uchache ni kuwa huyu bwana alikuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM ila Mtemvu alimletea ukabila na upwani.
Huyu bwana ni taa na nuru a wana Rorya si mubaguzi,hatoi rushwa za kukufanya uwe mjinga kama Airo, bali ni aina ya kiongozi ambaye anajenga uwezo wa watu wake ili washirikiane kujiletea maendeleo,anajua halmashauri,anaweza kututafutia wafadhili ili wawekeze Rorya,pia atatusaidia ktk kutuletea wataalam hasa wa ugani ili tuweze kulima zao la biashara.Maana hapa Rorya hatuna zao la biashara na wataalam.
Pia atatumia nafasi kuleta watalii hasa kutoka ulaya na kushirikiana na mashirika ya kimarekani ktk kutembelea Rorya maana hapa ndipo jamii ya Rais wa maerekani wajaluo wanapokaa hivyo ikitumiwa vizuri karibu watalii wote wanaokuja Serengeti na Ngorongoro watakuja Rorya.
Kibasso njoo lakini kwa tiketi ya UKAWA.