hawachelewi kufanya hivo.yawezekana mwajiri kakificha hataki uhame
Mjinga ni yupi? Wanaohamishwa na TAMISEMI ni watumishi wa Serikali za mitaa zilizochini ya DED/TD/CD, mtumishi wa serikali Kuu waliochini ya RAS huhamishwa na OR - Utumishi.Acha ujinga nenda tamisemi