Kibali cha kuwinda wanyama kinatolewaje?

Mh!! Inawezekana huu ni uchawi ulioandika hapa!! Na ushindwe

Jifunze kuedit kabla ya kupost
 
type these characters and enter to verify that you are human and not robot #*~%$

hahahahahaaa nimecheka hapa watu wananishangaa, lakini hata robots wako perfect kuliko huyu 'nchawi'
 
unahitaji kibali cha kuandika kwanza kabla ya cha "kuhuwa"
 
"wanyama pori wa porini" . Hahahaha. hivi kuna wanyama pori wa mjini?
 
Toka asubuhi nilikuwa sijacheka hivi dah ha ha ha mpaka watu wanishangaa nacheka mwenyewe ha ha ha dah mbavu zangu mie jamani dah
 
Wewe kisiran kwanza unaharibu kiswahili chetu, kibari ndo nin! Kwanza umeandika ukiwa una usingiiz
 
Mh kaaz kweli kweli umetuia vyema akili yako ya darasa la kwanz
 
Du...kweli mwajuma mchawi ni mbunifu. Umebuni kitu cha kuchekesha na kuprovoku watu.na umefanikiwa mn kuna watu wameshaprovokika na wengine tumechekaje! Big up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…