Kibagadu

Kibagadu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
1425663_383277811803548_375118734_n.jpg
 
watoto wana innovation na bidii, hawangoji kuletewa au kununuliwa michezo , wanatengeneza wenyewe - naomba waendelee hivyo hadi ukubwani - hawa ndio nguzo ya tz
 
duuh umenikumbusha mbali enzi hizo baikseli za miti
 
Tatizo hakuna pa kuendeleza sanaa yao, shule nazo zimefutiwa masomo ya sanaa. Daah! Shida tupu!
 
Kipakala hicho!

Sasa ukibahatika kuwa na bro anayefanya kazi mjini unamwomba akutafutie bearings (tamka bering'), ukipata zile kubwa ni poa zaidi. Sikilizia ka-mlio wakati kinashuka kwenye kilima, wacha kabisa!
 
Hahahahahaa umenikumbusha mbali sana hasa hilo jin "kibagadu" yan ww lazima upo Iringa au uliishi huku
 
Back
Top Bottom