Inawezekana bro kupata sub 300 perday sema tu vipo vitu ambavyo ni ladhima uzingatie kama tags, language, descriptio na tittle, hii kama huwa hushare katka magroup
Lakin lingine kama una youtube channel ili ikuwe halaka ni ladha uwe na fanbase kubwa hasa fb mfano jitahidi kuwa na group au page. Promote page yako iwe na fans wengi hapo youtube channel yako itakuwa kama mchezo
Mimi sikuanza na youtube channel nilianza na fb page nikaja blog na sasa youtube channel natumia blog na fb page kupromote channel yangu
I know si kazi rahisi ila ni kuvumilia tu