Kiama Youtube

Kang

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2008
Posts
5,692
Reaction score
2,576
Now days wamekuwa so restricted sana.
 
Hata hii ya subscribers bado ni kawaida sana kama unapada subscribers 300 kwa siku kuna shida gani hapo
 
Hata hii ya subscribers bado ni kawaida sana kama unapada subscribers 300 kwa siku kuna shida gani hapo
Subscriber 300 kwa siku sio kitu rahisi mzee hasa kwa channel zenye original content sio kurepost video za watu tu.
 
Subscriber 300 kwa siku sio kitu rahisi mzee hasa kwa channel zenye original content sio kurepost video za watu tu.
Inawezekana bro kupata sub 300 perday sema tu vipo vitu ambavyo ni ladhima uzingatie kama tags, language, descriptio na tittle, hii kama huwa hushare katka magroup

Lakin lingine kama una youtube channel ili ikuwe halaka ni ladha uwe na fanbase kubwa hasa fb mfano jitahidi kuwa na group au page. Promote page yako iwe na fans wengi hapo youtube channel yako itakuwa kama mchezo

Mimi sikuanza na youtube channel nilianza na fb page nikaja blog na sasa youtube channel natumia blog na fb page kupromote channel yangu

I know si kazi rahisi ila ni kuvumilia tu
 
Unapost original content au viral video hizi hizi anazopost kila mtu? Of coz kama unapost video za Diamond na Wema unaweza kupata 300 per day ila kwa mfano kuna watu wanatoa video za tutorial ambazo hazifuatwi na watu wengi.

Pia kuna watu wanaopost video moja inaenda viral inapata millions of views, maana yake huyu mtu hatapata hela yoyote kutokana na hiyo video kwa kuwa hana folowers 1,000.
 
Ulichosema ni kweli. It's difficult to keep original content na si tu kuripost video za watu.

Mimi najaribu na channel yangu. Nitafurhia kama wata wanaosoma hii wa subscribe na kutizama videos.
www.youtube.com/dakika3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…