Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

Ozon

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
2,847
Reaction score
4,506
Ripoti za kituo cha televisheni cha Israeli Channel 12 zimeripoti kuwa kuna takwimu zinazoongezeka kwamba Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, anaweza kuwa ameshapoteza uhai baada ya mashambulio.

Hata hivyo, matamko hayo hayajathibitishwa rasmi na hakuna taarifa rasmi kutoka kwa serikali ya Israel au Iran kuthibitisha kwamba Khamenei amekufa.

Wakati huo huo, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amedai kwamba Rais wa Iran na Kiongozi Mkuu wako ‘salama na wazima.’ Lakini Khamenei hajionekani hadharani wala kwenye video tangu mashambulizi yalipoanza.

1000356746.jpg

1000356937.jpg

1000356913.jpg

1000356933.jpg
 

Attachments

  • 1000356873.jpg
    1000356873.jpg
    64.2 KB · Views: 29
Ripoti za kituo cha televisheni cha Israeli Channel 12 zimeripoti kuwa kuna takwimu zinazoongezeka kwamba Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, anaweza kuwa ameshapoteza uhai baada ya mashambulio.
Hata hivyo, matamko hayo hayajathibitishwa rasmi na hakuna taarifa rasmi kutoka kwa serikali ya Israel au Iran kuthibitisha kwamba Khamenei amekufa.
View attachment 3550093
Sasa kama washamuua si waende wakachukue nchi
 
Ripoti za kituo cha televisheni cha Israeli Channel 12 zimeripoti kuwa kuna takwimu zinazoongezeka kwamba Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, anaweza kuwa ameshapoteza uhai baada ya mashambulio.

Hata hivyo, matamko hayo hayajathibitishwa rasmi na hakuna taarifa rasmi kutoka kwa serikali ya Israel au Iran kuthibitisha kwamba Khamenei amekufa.
View attachment 3550093
Sio kweli jamaa anakula futari mda huu
 
Na hata akifa, kiongoz anayekuja atakua tu anti American na anti Israel. Mtazamo wa watu million 80 haubadiliki kwa kifo cha mtu mmoja, zaidi nchi itaingia tu kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe kama Syria.
 
Back
Top Bottom