LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 253
Kuna kesi kadhaa zilifunguliwa dhidi ya viongozi wa CHADEMA. Moja ya kesi hizo ni ile inayohusu kuandamana Arusha na nyinginezo.
Lakini ni muda sasa haijasikika kutajwa mahakamani. Je ni janja ya watawala kuzichelewesha kesi hizo kuzitolea hukumu kwa manufaa yao kisiasa?
Watawala wanaweza kutoa hukumu kwa viongozi wa CHADEMA wakati wa uchaguzi mkuu ujao ili kuwafanya wasiwe na sifa ya kugombea.
Lakini ni muda sasa haijasikika kutajwa mahakamani. Je ni janja ya watawala kuzichelewesha kesi hizo kuzitolea hukumu kwa manufaa yao kisiasa?
Watawala wanaweza kutoa hukumu kwa viongozi wa CHADEMA wakati wa uchaguzi mkuu ujao ili kuwafanya wasiwe na sifa ya kugombea.