Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,144
- 12,191
Hivi kiuhalisia, Bima ya gari inastahili kufuatiliwa na hawa polisi wa trafic?Waelekezwe washughulike na Makosa ya wazi kama ubovu wa Gari, BIMA, usajili n.k, wajikite kufanya kazi zenye ushahidi siyo Makosa ya kuviziana!