Inashangaza kweli, pamoja na upendeleo wote Prince anaoupata bado anakwenda Mahakamani kumshitaki kiongozi wa Chama Cha Upinzani, Sijawahi kuona kitu kama hicho duniani. Nimeishi Nchi mbalimbali sijawahi kuona Mtoto wa Rais kumshitaki Kiongozi wa Upinzani Mahakamani.
Hata kule kwa Mugabe, haijatokea Prince baba yake ana miaka 2 na 1/2 kama Rais; atakwenda wapi baada ya hapo? Nchi nyingi hazitamchukua Sababu kama amechota pesa, Utawala wa Rais Mpya utazidai hizo pesa hakumbuki President Ibrahim Babangida na wenzake pesa zao Swiss Bank na UK na Majumba yalirudishwa kwa Wananchi wa Nigeria?
Angejiendea Shule na Kukaa Kimya kama Watoto wa Marais waliomtangulia Baba yake, Urais Miaka kumi na Ndege sio Maisha.