Kesi ya Mwakalebela dhidi ya Mbunge Msigwa yatupiliwa mbali

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
image.jpeg



Ile kesi ya malalamiko dhidi ya uchaguzi wa Jimbo la Iringa,iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa CCM ndugu David Mwakalebela imetupiliwa mbali na Mahakama.

David Mwakalebela ameamuliwa kulipa ghalama za kesi na hivyo kuanzia leo Mh.Peter Msigwa ni mbunge halali wa Jimbo la Iringa Mjini.

David Mwakalebela aligombea ubunge Jimbo la Iringa Mjini na akabwagwa chini na Mama Mbega ktk kura za maoni mara baada ya kukutwa akitoa "rushwa" kwa wanachama wa chama chake ktk kata ya Nduli,mwaka 2015 Mwakalebela alijitosa tena kugombea Jimbo la Iringa Mjini kwa tiketi ya CCM akichuana vikali na makada wenzake ndani ya Chama cha Mapinduzi akiwemo mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa JescaMtavatavangu.

Wakili wa Mbunge Msigwa,Jane Masey anasema Mahakama imetupilia mbali kesi hiyo baada ya mlalamikaji kukosa hoja za msingi.
 
View attachment 324730


Ile kesi ya malalamiko dhidi ya uchaguzi wa Jimbo la Iringa,iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa CCM ndugu David Mwakalebela imetupiliwa mbali na Mahakama.David Mwakalebela ameamuliwa kulipa ghalama za kesi na hivyo kuanzia leo Mh.Peter Msigwa ni mbunge halali wa Jimbo la Iringa Mjini
David Mwakalebela aligombea ubunge Jimbo la Iringa Mjini na akabwagwa chini na Mama Mbega ktk kura za maoni mara baada ya kukutwa akitoa "rushwa" kwa wanachama wa chama chake ktk kata ya Nduli,mwaka 2015 Mwakalebela alijitosa tena kugombea Jimbo la Iringa Mjini kwa tiketi ya CCM akichuana vikali na makada wenzake ndani ya Chama cha Mapinduzi akiwemo mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa JescaMtavatavangu.
Wakili wa Mbunge Msigwa,Jane Masey anasema Mahakama imetupilia mbali kesi hiyo baada ya mlalamikaji kukosa hoja za msingi.
hizi sheria ni lazima ziangaliwe upya , kumpiga faini mtu ambaye hana kazi ni kumtafutia kifungo tu .
 
Alifikiri vigezo vya kuwa mbunge ni kuwa na tumbo kubwa! Haaaaaaahaaa ataukumbuka ule U UDC alio utosa.
 
hizi sheria ni lazima ziangaliwe upya , kumpiga faini mtu ambaye hana kazi ni kumtafutia kifungo tu .
akome. to institute suit without legal grounds is costful. ningekuwa mkazi wa iringa ningepata kazi ya enforment of court judgement. madalali wa mahakama, tumepata kazi. uza nyumba yake arudi kupanga.
 
akome. to institute suit without legal grounds is costful. ningekuwa mkazi wa iringa ningepata kazi ya enforment of court judgement. madalali wa mahakama, tumepata kazi. uza nyumba yake arudi kupanga.
jamani jamani kuweni na huruma , huyu mtu ana mke na watoto , msifanye hivyo , kuweni na utu .
 
kwa mila za kiafrica ni aibu kubwa sana kwa mtu mwenye kitambi kushindwa jambo .
Haahaaahaaa, watu wamea amka, akamtafute Wasira wakajifunigie waombe sala ya toba, wasira aliitukana sana wana chadema na ndio iliyo mpoteza, mwakalebela machungu kwa wana soka yana muandama.
 
naona magu keshawachoka ccm, ameshindwa kumsimamia mwakalebe ili apunguze nguvu ya upinzani.

sasa nimeanza kuamini kwamba si ccm wote wanafurahia matendo ya baadhi ya wanaccm. magu ni mmojawao

viva magu, long live magu.......yuko radhi kufanya kazi na msigwa kuliko mwakalebe, vivi magu...aluta continua...tumbua majipu yakiisha tumbua chunusi
 
Back
Top Bottom