Bwana we hii ndiyo Tanzania.
Nini mpemba, kuna hawa hapa.
1. Masamaki
2. Milioni saba kwa dakika
3. Musa Naty na ishu ya coco
4. Mkurugenzi wa mishahara kumi na saba kwa mwezi
Leo serikali wanamkomalia mwalimu aliyekwenda kusoma bila ruhusa eti alipe mishahara yote aliyolipwa wakati yupo masomoni.