Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Imefutwa leo ambapo Jaji Ngwala ameamua kuiondoa kesi hiyo kwa kukosa kiambatanisho chenye kielelezo cha matokeo. Kesi hii ilikua bado haijaanza kusikilizwa; ilikua kwenye hatua za kutajwa.
Upande wa mashtaka umenukuliwa ukisema watakata rufaa.
Upande wa mashtaka umenukuliwa ukisema watakata rufaa.