Kesi ya mbunge wa Mbarali yafutwa

Kesi ya mbunge wa Mbarali yafutwa

Chadema Diaspora

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
480
Reaction score
644
Imefutwa leo ambapo Jaji Ngwala ameamua kuiondoa kesi hiyo kwa kukosa kiambatanisho chenye kielelezo cha matokeo. Kesi hii ilikua bado haijaanza kusikilizwa; ilikua kwenye hatua za kutajwa.

Upande wa mashtaka umenukuliwa ukisema watakata rufaa.
 
Ulikuwa unakimbizwa jaribu kuleta vitu kamili nani alikuwa mshaitakiwa nani mshitaki na nk
 
Ulikuwa unakimbizwa jaribu kuleta vitu kamili nani alikuwa mshaitakiwa nani mshitaki na nk

Mkuu uko vema kwenye kutaka undani ila mbona kama una mhemko sana bana, kulikoni??? au ndo imekula upande ilee nini!!!
 
Kateni rufaa kama ndo hivyo ila mbarali jimbo wakati wa uchaguzi ilikuwa liende chadema lakini kiburi na kuzarau wengine jidawaya kazamoyo na liberatus mwang"ombe wakaacha kumaliza tofauti zao na kula nyingi zilipotea ubaruku baada ya watu wa kule kuamua kumpigia kirufi lakini kama hawa watu wawili wangekaa chini na kuelewana na wakasaidiana kupiga kampeni jimbo lilikuwa rahisi sana pole kaka mwang"ombe kateni rufaa kama mnaona mahakama haijatenda haki,
 
hahaha huyu kumbe ubunge wenyewe ni wa mahakama alishindana na nani inaelekea rupia ilipenya hapa ile ya ujangili ilipanguliwa ndani ya siku tatu na kumbe ya ujangili iliisha kabla ya kusilikizwa ................
'



something fishy is behind all this
 
Sasa napata picha halisi kwamba mbunge huyu anatoa rushwa kushinda kesi zake. Serikali imulike eneo hilo kuna mengi mazito yamejificha.
 
Back
Top Bottom