Hawa dada zetu sijui wanaujasiri WA aina gani,waangeutumia kwenye vitu vya halali wangekuwa mbali Sana.tarehe 7 kkutokea Dar kwenda Dubai kwenye ndege ya Emirates kulikuwa na binti mwingine aliyekuwa amejibebebsha hayo madudu yao.toka mwanzo wa safari (tena ilikuwa na delay) mpaka kufika Dubai yule dada alikuwa anahangaika kwa maumivu na uchovu mpaka anatia huruma.inaonekana ilikuwa bahati take maana hatujasikia mtu kukamatwa huko na Mimi sikuweza mfatilia zaidi maana nilikuwa naendelea na safari.