USHAURI KWA HAMADI.
Kama anaamini kuwa anakubalika kwa wapiga kura wake basi akawashitaki CUF kwa wapiga kura wake na achague chama haraka kabla hasira za wananchi hazijatulia. Uchaguzi ukirudiwa mara moja anakuwa mbunge kupitia chama kingine.
Hizi mahakama zetu hazina fedha, hiyo kesi inaweza kuchukua mwaka lakini mwisho wa siku lazima atapoteza ubunge kwa sababu wenzake hawamtaki tena. sasa yanini kupoteza muda wakati mtaji wako ni wannchi wa Jimbo la WAWI?
Kwa Heshima nawasilisha.